• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WIKI YA TEHAMA WILAYANI GEITA YAANZA NA SEMINA KWA WADAU

Posted on: September 27th, 2021

Timu ya Uhamasishaji na matumizi sahihi ya Teknolojia ya Habari Mawasiliano (TEHAMA) Wilaya ya Geita leo jumatatu Septemba 27, imeanza rasmi kutoa Semina kwa wadau mbalimbali kuhusu matumizi ya TEHAMA Katika shughuli za uzalishaji mali.

Semina hiyo imetolewa katika ukumbi wa Gedeco Mjini Geita ikiwa ni moja  ya majukumu yanayotakiwa kufanyika katika  Maadhimisho ya wiki ya TEHAMA ki Wilaya iliyoanza leo hadi Oktoba mosi mwaka huu.

Wajumbe wakiwa Vyama vya Amicos,viongozi wa wafanyabiashara,na viongozi wa vyama vya ushirika wamepatiwa Elimu ya namna TEHAMA inavyoweza kuwasaidia katika shughuli za kiuchumi kwa kutangaza biashara zao,kutambua fursa za kibiashara,kutambua huduma zitolewazo na Serikali na hata kutambua na kutumia huduma mtandao.

Msajigwa Alfred Kasambo Mwezeshaji ambaye pia ni Mkurugezi wa Kampuni binafsi ya Infodigtech for Community Empowerment akiwawezesha wajumbe amesema kuwa, ‘‘ TEHAMA ni biashara hivyo ni vyema kuchangamkia fursa hiyo kwa kujifunza na kuitumia kwa faida ili kufahamu mambo mbalimbali ya msingi kama vile tenda za Serikali na Kampuni binafsi, mpango wa uuzaji bidhaa nje, masoko na bei za bidhaa.

Awali akitoa utangulizi katika Semina hiyo Bw.Frank Makonda mwezeshaji  ambaye pia ni Afisa TEHAMA Halmashauri ya Wilaya ya Geita amesema kuwa TEHAMA imeleta mapinduzi makubwa katika utoaji wa huduma kwa wananchi ikiwemo uhuru wa kujieleza.

Ameendelea kusema  licha ya kuwa na faida kubwa kwa wananchi kumekuwepo na changamoto ambazo zimeambatana na mafanikio hayo kama vile uhalifu wa kwenye mitandao, chanzo cha maadili mabaya katika jamii, na nyingine nyingi.

Makonda amesema kuwa kwa kulitambua hilo Serikali kupitia mbio maalumu za mwenge mwaka huu 2021 imeamua kuja na kauli mbiu ya ‘’TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu itumie kwa usahihi na uwajibikaji’’ suala linalowataka wadau wote wa TEHAMA zikiwemo taasisi zilizopewa dhamana hiyo kutoa elimu kwa jamii juu ya matumizi sahihi kwa maendeleo ya nchi yetu.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa