• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Maendeleo ya Jamii



Mkuu wa Idara: FURAHA P.CHIWILE

Idara ya Maendeleo ya Jamii ni “MTAMBUKA” ikihusisha sekta ya Maendeleo ya Jamii katika Nyanja za Kijamii, Kiuchumi,Kiutamaduni na hata Utawala bora. Lengo ni kuhakikisha Jamii inashiriki kikamilifu katika Kubuni, Kupanga,kutekeleza,kusimamia , na kufuatilia katika upatikanaji wa huduma za msingi za kiuchumi na kijamii katika maeneo yao.

Majukumu ya Msingi ya Idara;

  • Kushirikisha jamii katika kubuni, kupanga, na kusimamia utekelezaji wa mipango na miradi ya maendeleo katika maeneo yao.
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za wanawake,jinsia,wazee na watoto.
  • Kuhimiza jamii kujenga na kuimarrisha ari ya kufanya kazi za maendeleo kwa njia ya kuchangia na kujitolea kwa kutumia vizuri rasilimali chache zilizopo kwenye maeneo yao.
  • Kuhakikisha kuwa jamii inabadilika kutoka fikra na mitazamo asilia ya maendeleo na kuwa na fikra na mitazamo inayokwenda na wakati na kushiriki kikamilifu katika kubuni, kupanga, kutekeleza na kufuatilia mipango ya Maendeleo yao.
  • Kuelimisha Jamii kuondokana na mila potofu zinozopelekea vitendo vya kikatili dhidi ya Wanawake, Watoto, Vikongwe na Watu wenye ulemavu wa ngozi.
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za mashirika yasiyo ya kiserikali na wadau wa Maendeleo.
  • Kutoa mafunzo ya ujasiriamali na kuwezesha vikundi vya wanawake kwa kuwapatia mitaji ya kuendeleza miradi yao
  • Kuelimisha Jamii zitambue kuwa rasilimali za kuleta maendeleo ziko ndani ya Jamii zenyewe na kwamba wanao uwezo wa kuzibaini na kuzitumia kwa ajili ya Maendeleo yao badala ya kufikiria kuwa zinapatikana kutoka serikalini au nje kama msaada.
  • Kuendeleza na kueneza teknolojia rahisi na sahihi vijijini kwa kuelimisha Jamii kujenga nyumba bora na zenye bei nafuu, kutumia majiko sanifu na banifu na utengenezaji wa matofali saruji udongo.
  • Kuelimisha jamii zione umuhimu wa kuchagua viongozi bora na kushirikiana nao katika Uongozi na kazi za kujitolea kwa maendeleo yao na kujenga tabia ya kuwajibika. Pia Jamii ione umuhimu wa kuzingatia sheria, kanuni na taraibu halali zilizopo.
  • Kusisitiza Jamii juu ya wajibu wa Wazazi/ Walezi wote wawili yaani Wanaume na Wanawake kwa pamoja katika malezi na Makuzi ya Mtoto.
  • Kuelimisha Jamii juu umuhimu wa Kuwatunza, kuwalinda na kuwathamini watu wote wenye ulemavu wa aina mbalimbali katika maeneo yao, ikiwa ni pamoja na kuanzisha mfuko maalam wa kusaidia kundi hili.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa