• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Uchaguzi

KITENGO CHA UCHAGUZI

Mkuu wa Kitengo

Januari Bikuba

Utangulizi:

Kitengo cha Uchaguzi ni miongoni mwa vitengo 6 vya Halmashauri ya Wilaya ya Geita vilivyoanzishwa   kwa mujibu wa Muundo wa Halmashauri wa mwaka 2012.

Kitengo hiki kilianzishwa mahususi kwa ajli ya kusimamia na kuratibu shughuli zote za uchaguzi Mkuu na Chaguzi ndogo za Urais, ubunge na Udiwani kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi, Kanuni za Uchaguzi na Maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika ngazi ya Halmashauri. Pia kitengo hiki kinawajibika kusimamia na kuratibu shughuli za Uchaguzi Mkuu na Chaguzi ndogo za Serikali za Mitaa kwa Mujibu wa Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Kanuni za Uchaguzi na Maelekezo ya Wizara yenye dhamana ya Serikali za Mitaa.

Dira:

Dira ya Kitengo hiki ni Kuwa kitengo madhubuti kitakacho weza kuchangia katika kuleta maendeleo ya wananchi kwa kujenga  Halmashauri inayozingatia Utawala bora uliojengwa katika misingi ya Uchaguzi Huru, wa Haki na wa Mara kwa mara (Free, Fair and Frequent elections) kufikia 2025 .

Dhima:

Dhima ya kitengo hiki ni kuhakikisha kuwa Sheria na Kanuni za Uchaguzi zinasimamiwa ipasavyo  kwa lengo la kuwawezesha Wananchi wote wenye sifa katika Halmashauri kupata fursa ya kushiriki kikamilifu katika kuwachagua viongozi wao kupitia uchaguzi ulio huru na wa haki.

Majukumu ya Msingi:

i.Kusimamia na kuratibu zoezi la Mgawanyo wa Maeneo ya utawala (Vitongoji, Vijiji na Kata) katika mipaka ya Halmashauri

ii.Kusimamia na Kuratibu zoezi la kuandaa orodha ya Wapiga kura wenye sifa katika Halmashauri

iii.Kusimamia na kuratibu uteuzi wa wagombea wenye sifa na kampeni za Uchaguzi

iv.Kusimamia na kuratibu zoezi la upigaji kura

Mafanikio:

Toka kuanzishwa kwake kitengo hiki kimeweza kupata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa shughuli za Uchaguzi. Mafanikio hayo ni Pamoja na:

i.Kusimamia kwa ufanisi Uchaguzi mdogo wa Diwani wa Kata ya Nzera wa mwaka 2012

ii.Kusimamia kwa ufanisi Uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2014

iii.Kusimamia kwa ufanisi zoezi kuandaa Daftari la kudumu la Wapiga kura kwa kutumia Mfumo wa BVR mwaka 2015  ambapo wananchi wote wenye sifa katika Halmashauri waliandikishwa

iv.Kusimamia kwa ufanisi Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2015

v.Kusimamia kwa ufanisi Uchaguzi mdogo wa Diwani wa Kata ya Nkome wa mwaka 2017



Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa