• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

GEITA DC YAPOKEA ZANA ZA KILIMO KUTOKA WIZARA YA KILIMO

Posted on: December 1st, 2025

Nzera-Geita

Wizara ya Kilimo imetoa zana za Kilimo ambazo ni  Matrekta 5 na Pawatila 16 pamoja na viambata vyake.

Akipokea hati ya makabidhiano ya vifaa hivyo kutoka kwa Afisa Manunuzi Wizara ya Kilimo Ndg Stephen Ikanga, Desemba Mosi, 2025 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Dkt Alphonce Bagambabyaki ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa kutoa zana hizo kuwasaidia wakulima katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

" Tunashukuru Serikali inayo ongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia zana hizi kwani Uhitaji ni mkubwa sana kwani shughuli za Kilimo hususani zao la Mpunga  zinafanyika kwa kiasi kikubwa katika maeneo yetu" Amesema Dkt Alphonce.

Vile Vile Dkt Alphonce amesema zana hizo zitawasaidia wakulima wakubwa na wadogo na kwa kuzingatia jiografia ya Maeneo ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita Pawatila zitatumika  kwa maeneo ambayo Trekta hazitaweza kufika na kwa wakulima ambao hulima ekari chache.

Pamoja na hayo Kaimu Mkurugenzi amemshukuru  Mbunge wa Jimbo la Geita Mhe Joseph Kasheku Musukuma kwa juhudi zake katika upatikanaji wa zana hizo ambazo zitaenda kuongeza uzalishaji ndani ya Halmashauri na  kukuza uchumi wa wananchi.

Lengo  la kutoa zana hizo ni kuanzishwa kwa kituo cha Zana za Kilimo Katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita ambapo wakulima  wataweza kukodi zana hizo kwa gharama ndogo ili kufanikisha shughuli za kilimo katika maeneo yao.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC YAPOKEA ZANA ZA KILIMO KUTOKA WIZARA YA KILIMO

    December 01, 2025
  • KATIBU TAWALA MOROGORO DKT MUSSA AZITAKA HALMASHAURI KUUNGA JUHUDI ZA VIKUNDI VINAVYOWEZESHWA NA SERIKALI KULETA MATOKEO CHANYA.

    November 14, 2025
  • WATAALAM KUTOKA MKOA WA GEITA WAPATIWA MAFUNZO UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUKUZA USAWA WA KIJINSIA TANZANIA(PAMOJA)

    November 13, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YASHIRIKI MAFUNZO YA E-BOARD TOLEO LA PILI

    November 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa