• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAUGUZI WA AFYA NA MAAFISA LISHE GEITA DC WAASWA KUEPUKA MIGOGORO MAENEO YA KAZI.

Posted on: September 22nd, 2025

Wauguzi katika vituo vya Afya na Zahanati Pamoja na Maafisa Lisha leo Septemba 23,2025 wamepatiwa mafunzo ya Afua za Lishe  ili kuwajengea uwezo katika maeneo ya kazi.

Awali akifungua mafunzo hayo katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ulipo Nzera, Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Dkt Modest Buchard amewapongeza Maafisa Lishe na wauguzi hao  kwa namna ambavyo wanaendelea kutekeleza majukumu yao katika maeneo yao ya kazi.

“Niwapongeze kwa namna ambavyo mnapambana kwenye vituo vyenu vya kazi. Kama tunavyoishi nyumbani basi na maeneo ya kazi tuyapende na kuyachukulia kama sehemu yetu ya Maisha ya kila siku kwani kazini ni sehemu tunayokaa kwa muda mrefu” Amesema Dkt Modest Buchard.

Aidha Dkt Modest amewataka Maafisa Lishe na Wauguzi hao kuepuka Migogoro sehemu za kazi na kupafanya kazini kuwa sehemu salama huku akiwataka kuendelea kushikamana,kushirikiana na kuvumiliana katika maeneo ya kazi ili maisha ya kazi yaweze kwenda vizuri

Vilevile Dkt Modest katika mafunzo hayo amewaasa Waganga Wafawidhi kuvisimamia vituo vyao vya kazi kwa weledi  ikiwa ni Pamoja na kuwahimiza watumishi kuvaa sare wakati wote wa muda wa kazi ili kuwa nadhifu.

Kwa upande wake Afisa Lishe Bi Ummy Kileo amewataka Maafisa Lishe kulipa uzito swala la Lishe katika maeneo ya kazi wanapotoa huduma ikiwa ni Pamoja na Kutengeneza ratiba ya afya na lishe na kuzitekeleza Pamoja na kuweka kumbukumbu kwa kazi ambazo zinafanyika ili ziweze kufanyiwa kazi katika ngazi nyingine

Pamoja na hayo Bi Ummy ameeleza Mikakati ya kuboresha vituo vya kutolea huduma ili kuendelea kulipa uzito swala la lishe kwa kuendelea Kuimarisha huduma ya mama baba na mtoto kwa kutoa elimu ya lishe, Upatikanaji wa bidhaa za lishe katika meneo ya kutolea huduma,Kufanya tathmini ya lishe na kutunza kumbukumbu ili kupata takwimu sahihi.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA BOOST YENYE THAMANI YA BILIONI 3.2

    October 09, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NYANG'WALE ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO YA MADINI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA.

    September 24, 2025
  • WAUGUZI WA AFYA NA MAAFISA LISHE GEITA DC WAASWA KUEPUKA MIGOGORO MAENEO YA KAZI.

    September 22, 2025
  • WANANCHI KATORO WAJITOKEZA KUADJIMISHA SIKU YA USAFISHAJI DUNIANI.

    September 20, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa