• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA ELIMU WA BRIDGE-TZ WAZINDULIWA RASMI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA.

Posted on: January 7th, 2026

Programu ya Mradi wa Elimu unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kwa ufadhili wa Tume ya Taifa ya UNESCO ya nchini Korea, (KNC-UNESCO), Bridge-Tanzania, leo Januari 7, 2025, umezinduliwa rasmi katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Mradi huo umewalenga vijana kwa kuwapatia stadi mbalimbali pamoja na ujuzi ili waweze kujiongezea tija kwenye shughuli zao ka kuchangia pato la familia, jamii, na taifa kwa ujumla.

Ukiwa umetambulishwa toka mwaka 2024, mradi huo una lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia na vijana takribani 1,050 kutoka kata 10 pamoja na  kuwafaidisha na utaendeshwa kwa awamu tano.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo katika Ofisi za Kata, Nzera, Katibu Mtendaji kutoka tume hiyo, Prof. Hamisi Masanja Malebo amesema kuwa dhumuni la mradi huo ni kuwavusha vijana kuelekea ajenda ya dunia ya Maendeleo Endelevu ifikapo mwaka 2030 huku akiwataka washiriki wa programu hiyo kuweka nia na juhudi ili malengo ya mradi huo yawe yenye matokeo chanya kwenye jamii.

Prof. Malebo ameongeza kuwa, maono ya Bridge - Tanzania yanaendana na maono ya Mhe. Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amekuwa kinara wa kuwekeza kwenye Elimu jumuishi na ujenzi wa uwezo wa vijana. Alifafanua kuwa, kupitia dira hiyo, Serikali inalenga kuhakikisha vijana wanapata maarifa na ujuzi utakaowawezesha kushiriki kikamilifu katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya taifa.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri, Ndg. Jonas Kilave amewataka vijana hao kuonyesha nidhamu ya kujifunza na kuufanyia kazi ujuzi watakaoupata. Ameongeza kwa kutoa wito kwa vijana hao kuunda vikundi ili waweze kunufaika na fursa ya mikopo inayotolewa na Serikali pamoja na kuwatumia wataalamu kwenye kuanzisha miradi ya kimaendeleo.



Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MRADI WA ELIMU WA BRIDGE-TZ WAZINDULIWA RASMI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA.

    January 07, 2026
  • CRDB YAKABIDHI VIFAA NETIBOLI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA.

    January 05, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YATOA MIKOPO ISIYO NA RIBA YA SHILINGI MILIONI 500 KWA VIKUNDI 58

    January 05, 2026
  • MUUNGANO WA VIKUNDI VYA ASILIMIA KUMI VYARUDISHA KWA JAMII

    December 31, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa