• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZ WA VITUO VYA UCHAGUZI WAASWA KUZINGATIA UFANISI NA UADILIFU KWENYE KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU.

Posted on: October 27th, 2025

Mafunzo yaliyodumu kwa siku mbili mfululizo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye vituo vya kupigia kura, Oktoba 27 yamefikia tamati katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita, huku washiriki wakitakiwa kuzingatia suala la ufanisi pamoja na uadilifu.

Akizungumza wakati akihitimisha mafuzo hayo katika Kata ya Nzera, yaliyojumuisha pia Kata za jirani zikiwemo Kata ya Izumacheli, Nkome, Nyamboge, Katoma, Lwezera na Kakubilo,  Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi ngazi ya Halmashauri Bi. Sarah Yohana, amewapongeza wasimamizi hao huku akiwataka wazingatie suala la uweledi.

“Niwapongeze kwa kumaliza mafunzo lakini pia ninaamini kwamba kwa kuwa mmeaminiwa na Tume Huru ya Uchaguzi kuifanya kazi hii, mtaifanya kwa ufanisi wa hali ya juu. Tunaamini kuwa hamtatuangusha na mtaifanya kazi hii vizuri.” Amesema Bi. Sarah.

Awali wakati akiendesha mafunzo hayo, Ndg. Festo Gaudence Nsalamba amewasisitiza Wasimamizi hao kuvitambua vituo walivyopangiwa huku pia akiwataka wahakikishe wanazingatia muda kwenye vituo vyao ili kutowaingiza wapiga kura kwenye changamoto ya kutoweza kupiga kura.

Kwa upande wake, mmoja wa wasimamizi hao, Ndg. Anord Rwegoshora amesema kuwa watahakikisha wanasimamia yale waliyojifunza kwenye mafunzo hayo likiwemo suala la kuhakikisha wanatoa kipaumbele kwa watu wenye mahitaji maalumu ili wasiweze kupata adha kwenye zoezi la kupiga kura.

Jumla ya vituo 1288 vinatarajiwa kutumika kwenye Uchaguzi Mkuu katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita yenye majimbo matatu ya uchaguzi ambayo ni Jimbo la Geita, Katoro na Busanda.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TANZANIA YAPIGA KURA KUCHAGUA RAISI, WABUNGE, NA MADIWANI LEO.

    October 29, 2025
  • WASIMAMIZ WA VITUO VYA UCHAGUZI WAASWA KUZINGATIA UFANISI NA UADILIFU KWENYE KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU.

    October 27, 2025
  • NMB GEITA YAISHIKA MKONO HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA SEKTA YA MICHEZO.

    October 21, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WATOA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA KUPENDANA.

    October 20, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa