• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WA VIJIJINI WAASWA KUTUMIA UMEME KWA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA KIUCHUMI

Posted on: September 21st, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Paul Wanga, amewataka wananchi wanaopata huduma ya umeme kutumia nishati hiyo vizuri kwa maendeleo, ikiwa ni pamoja na kuanzisha viwanda vidogovidogo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Paul Wanga akizungumza katika maonesho viwanja vya Bombambili

Wanga ametoa kauli hiyo akiwa katika viwanja vya Bombambili yanapofanyikia maonesho ya nne ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini, alipotembelea banda la Shirika la Umeme nchini TANESCO  na kuelezwa namna Shirika hilo lilivyojipanga katika kuendelea kusambaza umeme vijijini.

Banda la Maonesho la Halmashauri ya Wilaya ya Geita

Amewataka wananchi kuanzisha viwanda vidogo vidogo vya kusindika mazao mbalimbali yanayolimwa Geita,ili kuyauza maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya Mkoa wa huu kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo kwa ujumla.

Kwa upande wake mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii  Bi.Furaha Paul Chiwile licha ya kuwakaribisha wananchi kutembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Geita, amesema kuwa Halmashauri hiyo imewawezesha wajasiriamali mbalimbali kwa kuwapatia mikopo, ambayo imewasaidia kufungua viwanda vidogo vidogo vya kuzalisha bidhaa mbalimbali  ambazo  ziko katika Banda hilo.

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi.Furaha Chiwile akionesha moja ya bidhaa zinazotengenezwa na Wajasiriamali wa Halmashauri hiyo.

Salome Chakupewa ni miongoni mwa Wajasiriamali ambao kupitia kikundi chao cha wanawake wa Igate wanaosindika mvinyo, anasema wamewezeshwa mkopo wa kiasi cha shilingi milioni 50 na Halmashauri hiyo  kwa ajili ya ujenzi jengo la kiwanda  ambapo uzalishaji wa bidhaa zao unaendelea hadi sasa.

Bidhaa za mvinyo zinazotengenezwa na kikundi cha Wanawake wa Igate

Wakati huohuo Bi.Mwanahamis Said kutoka kikundi cha Mama ni Mama cha Nkome Mchangani  wanaojihusisha na biashara ya dagaa, anasema kuwa licha ya kupatiwa mashine ya kukaushia dagaa kuwarahisishia shughuli zao lakini pia maonesho hayo ni fursa kubwa kwao kwa ajili ya kujitangaza wao na bidhaa zao.

Wanawake wa Nkome mchangani wakiwa na bidhaa zao za dagaa wanazozisindika

Maonesho hayo yameanza septemba 16 mwaka huu yakiratibiwa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita, ambapo kilele chake ni septemba 26 na Mgeni Rasmi akiwa Waziri mkuu wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa anayetarajiwa kufika viwanjani hapo septemba 22,huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ’’SEKTA YA MADINI KWA UKUAJI WA UCHUMI NA MAENDELEO YA WATU”

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa