• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANAFUNZI DARASA LA NNE KUANZA MITIHANI YA UPIMAJI WA KITAIFA KWA MWAKA 2023 GEITA DC

Posted on: October 25th, 2023

Na: Hendrick Msangi.

Jumla ya watahiniwa 47,286 wa darasa la nne wakiwemo Wavulana 22,531 na Wasichana 24,755 wameanza  kufanya mitihani ya upimaji wa darasa la nne 2023 katika shule za msingi 234 Wilayani Geita.

Mkoa wa Geita una jumla ya shule za Msingi 742 zenye watahiniwa wa SFNA 2023 ambapo kati ya shule hizo , 690 ni za Serikali na 52 ni za binafsi. 

Hilo ni ongezeko la shule 43 sawa na asilimia 6  ikilinganishwa na shule 699 zilizofanya mtihani wa upimaji wa kitaifa wa darasa la nne kwa mwaka 2022 katika Halmashauri 6 za Mkoa huo.

Akizungumzia maandalizi ya mitihani hiyo, Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita ndugu Paul R Magubiki amesema maandalizi yapo vizuri na semina zimetolewa kwa wasimamizi wa mitihani hiyo kwa shule zote ili mitihani hiyo iweze kufanyika katika ufanisi ulio kusudiwa.

“Semina zimefanyika kwa ufanisi kwa walimu wanaosimamia mitihani hii, kwani wameandaliwa vema kwa kufuata muongozo wa baraza la mitihani na vyombo husika vinavyounda kamati ya mitihani pia ulinzi na usalama upo wa kutosha, hivyo tunaamini watoto watafanya vizuri na tumewataka wasimamizi kuwaacha watoto kufanya mitihani hiyo wenyewe kwani ni mitihani ya upimaji tuweze kupata tathmini ya kile watoto walichojifunza kwa miaka minne” amesema Magubiki

Kwa upande wa Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Nzera iliyoko kata ya Nzera  Agustine Mabina amesema wanafunzi wamejiandaa vema kufanya mitihani hiyo ya upimaji wa kitaifa iliyoanza leo oktoba 25.

 “Tumewaanda vema watahiniwa kwani wamefanya majaribio mengi ya mitihani ya ndani, mock Wilaya na mock Mkoa, pia tumewaanda kisaikolojia kufanya mitihani yao ya Upimaji wa Kitaifa, alisema Alisema Mabina.

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Baraza la Mitihani la Tanzania  imetoa ratiba ya kufanyika kwa mitihani ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne kwa siku mbili yaani Octoba 25 na 26, Aidha  kwa upande wa wanafunzi wenye mahitaji maalum (wasioona, uoni hafifu , viziwi ), Wizara imeelekeza waongezewe muda wa ziada wa dakika 20 kwa kila saa kwa somo la Hisabati  na dakika 10 kwa kila saa kwa masomo mengine na kuwepo kwa mtaalam mwaminifu wa mahitaji husika kwa  wanafunzi wenye mahitaji maalum.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa