• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

TUILINDE AMANI YA NCHI YETU KWA WIVU MKUBWA-DC KOMBA

Posted on: September 24th, 2024

Wananchi wa Kata ya Katoma jimbo la Geita wametakiwa kuilinda amani ya nchi ya Tanzania kwa wivu mkubwa huku wakitakiwa kutoa taarifa kwa vyombo vya usalama kwa wale wote wanaojihusisha na matukio ya kiuhalifu.

Hayo yamesemwa Septemba 23, 2024 kwenye mkutano wa Hadhara ambapo Mkuu wa Wilaya ya  Geita Mhe Hashim Abdallah Komba  ameseikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wa kata hiyo.

“Amani ikivurugika hakuna maendeleo, pigeni vita uzushi mbalimbali unaoendelea maeneo tofauti ikiwa ni pamoja na taarifa za watu kung’olewa figo pamoja na wale wote  ambao wanarudisha  maendeleo ya watu wakiwepo vibaka, wezi na waporaji ili tujenge jamii yenye amani na utulivu” Amesema Mhe Komba.

Pamoja na hayo Mhe Komba amewasihi wananchi wa Kata hiyo kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya mbio za Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kupokelewa Octoba 05, 2024 na kukimbizwa ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Mhe Hashim Komba Mkuu wa wilaya ya Geita amewataka wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita kutoa elimu kuhusu mikopo inayotolewa na Serikali ili wananchi wanufaike na mikopo hiyo isiyokuwa na riba.

“Mwenge wa uhuru unakuja kuchochea shughuli za maendeleo katika maeneo yetu hivyo tujitokeze” amesisitiza Mhe Komba.

Katibu Tawala Wilaya ya Geita Bi Lucy Beda akizungumza katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Katoma Septemba 23, 2024.

Aidha Mhe  Komba amewataka wananchi hao kijitokeza kuanzia tarehe 11 hadi 20 Octoba  kwenda kujiorodhesha kwenye daftari ili kupata nafasi ya kuchagua viongozi wa serikali za mitaa katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.


Karia Rajab Magaro Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita akiwahimiza Wananchi kujitokeza kijiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Wananchi wa Kata ya Katoma wakifuatilia Mkutano wa Hadhara Septemba 23, 2024 ambapo wametoa kero mbalimbali zinazowakabili na kupatiwa ufumbuzi.


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa