• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA MENEJIMENTI HALMASHAURI YA GEITA YATEMBELEA VYANZO VYA MAPATO MAMLAKA YA MJI MDOGO KATORO

Posted on: July 16th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Karia Rajab Magaro, Julai 15, 2024 ameongoza timu ya menejimenti (CMT) kutembelea na kukagua vyanzo vya mapato mamlaka ya mji mdogo Katoro.

Timu hiyo imetembelea vibanda vya biashara, machinjio ya mifugo na Mnada kata ya Katoro kukagua shughuli zinazofanyika maeneo hayo ili kuona namna ya uboreshaji wa miundombinu katika vyanzo hivyo ili kudhibiti upotevu wa mapato.

Timu ya Menejimenti ikiwa kwenye Mnada wa Ng’ombe uliopo Kata ya Katoro. Mnada huo kwa siku za mnada takribani ng’ombe 2000 wanaingia kwenye mnada huo.

Timu ya Menejimenti ikiwa kwenye Kiwanda cha kukunja mabati kilichopo mamlaka ya mji mdogo wa Katoro ambapo timu hiyo imepokea maelezo namna ambavyo kiwanda hicho kinafanya kazi.

Aidha Mkurugenzi ameagiza wasimamizi wa vyanzo hivyo kuhakikisha mazingira yanatunzwa pamoja na kuzingatia swala zima la usafi ili Halmashauri iendelee kukusanya mapato katika vyanzo hivyo vya machinjio na mnada.

Timu ya Menejimeti ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita  ikiwa kwenye Machinjio ya mifugo kata ya Katoro ambapo kwa siku takribani ng’ombe 10-15 wanachinjwa huku mbuzi wakiwa takribani 10-20. Magaro ameelekeza miundombinu ya Machinjio hayo kuboreshwa na kuwa katika hali ya usafi

Pamoja na kutembelea vyanzo hivyo, pia timu hiyo ilitembelea daraja linalojengwa na TARURA kupitia kampuni ya Treasure Ltd ya Mwanza kwa gharama za Shilingi Milioni 81. Daraja hilo linaunganisha barabara ya CCM-Mtunduni-Mnadani na unatarajiwa kukamilika Agosti 1, 2024 ambapo utarahisisha usafirishaji wa mifugo kuelekea mnadani.


Timu ya Menejimenti (CMT) ikikagua maendeleo ya ujenzi wa daraja linalounganisha barabara ya CCM-Mtunduni-Mnadani  wenye thamani ya shilingi Milioni 81.Daraja hilo litarahisisha usafirishaji wa mifugo kuelekea mnada wa katoro wenye uwezo wa kubeba takribani ng’ombe 2000.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa