• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

TARURA KUTUMIA ZAIDI YA BILIONI 7 KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA AJILI YA BARABARA KATIKA WILAYA YA GEITA

Posted on: February 7th, 2022

Wakala wa Barabara za Mji na Vijijini (TARURA) Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imepanga kufanya matengenezo ya barabara na madaraja kwa Kiasi cha shilingi 7,118,678,127 kutoka fedha za mfuko wa Barabara (Road Fund), fedha za tozo na fedha za majimbo ya Geita vijijini, Geita Mji na Busanda.

Taarifa iliyowasilishwa katika kikao cha baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Februari 3, 2022 na Kaimu Meneja wa TARURA Wilaya ya Geita Mhandisi Thereza Bernado imeeleza kuwa matengenezo hayo yamegawanyika katika sehemu nne ambazo ni matengenezo ya kawaida, matengenezo ya muda maalumu, matengenezo ya sehemu korofi na madaraja.

Kwa Halmashauri ya Wilaya ya Geita mapendekezo ya TARURA kwa matengenezo ya kawaida kwa mwaka wa fedha 2022/2023 yanatarajiwa kugharimu jumla ya kiasi cha Tshs.260,000,000 (milioni 260) kwa kata za Nyamalimbe, Kamena, Busanda, Lwamgasa/Nyarugusu na Nyawilimilwa.

Kwa upande wa mapendekezo ya matengenezo ya sehemu korofi katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita TARURA imepanga kutumia jumla ya kiasi cha Tshs. 858,000,000 (milioni 858) kwa kata za Nkome, Kasota, Nyawilimilwa, Nyaruyeye, Lwamgasa/Nyarugusu, Katoro, Nyakagomba, Nyamwilolelwa, Lubanga, Busanda, Kamena na Nyamalimbe.

Aidha kwa Mapendekezo ya matengenezo ya muda maalumu Halmashauri ya Wilaya ya Geita imetengewa jumla ya kiasi cha Tshs. 440,000,000 (milioni 440) kwa kata za Kamena, Lubanga, Nyamwilolelwa, Nyakagomba, Lwamgasa/Nyarugusu, Nyawilimilwa, na Nkome.

Kwa upande wa ujenzi wa madaraja Halmashauri ya Wilaya ya Geita imetengewa jumla ya kiasi cha Tshs. 270,000,000 (milioni 270) katika kata za Katoro, Nkome, Kasota, Nyawilimilwa, Nyaruyeye, Lwamgasa/Nyarugusu, Nyakagomba, Nyamwilolelwa, Lubanga, Busanda, Kamena na Nyamalimbe.

Halmashauri ya Wilaya ya Geita inahudumia mtandao wa barabara za vijijini (Collector, Feeder and Community Roads) wenye jumla ya Kilometa 1745 ambapo kati ya hizo barabara za Changarawe ni Kilometa 600.8, barabara za udongo ni kilometa 1144.99 na jumla ya   madaraja 460.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. June 05, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA URATIBU WA MWENGE WA UHURU MKOA YATEMBELEA YATEMBELEA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA, GEITA.

    June 24, 2025
  • ZAIDI YA BILIONI 50 ZATUMIKA KUKAMILISHA MIRADI GEITA 2020-2025.

    June 21, 2025
  • RAISI DKT. SAMIA AZINDUA DARAJA LA KIGOGO-BUSISI.

    June 19, 2025
  • WATUMISHI WILAYANI GEITA WAKUMBUSHWA SUALA LA KUJIFANYIA TATHMINI.

    June 18, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa