• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA YAAHIDI KUCHANGIA MILIONI MOJA KATIKA UJENZI WA KITUO CHA AFYA BUSANDA

Posted on: November 19th, 2021

Sekretarieti ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa imeahidi kuunga mkono kwa kiasi cha shilingi milioni moja ujenzi wa Mradi wa kituo cha Afya Busanda katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita unaotekelezwa kutokana na nguvu za wananchi, wadau wa maendeleo na mfuko wa jimbo.

Katibu Mkuu wa jumuiya ya wazazi CCM Taifa Ndg.Gilbert Kalima akiwa katika ziara ya Sekretarieti ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa katika jimbo la Busanda Novemba 17, 2021 ameahidi kiasi cha shilingi Milioni moja kuunga mkono ujenzi wa Mradi huo kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg.Daniel Chongolo.

Akiwa katika kata ya Busanda mara baada ya kupewa taarifa ya Mradi huo Kalima amewataka wanaCCM kuendelea kuwahamasisha wananchi kujitolea kwa nguvu na mali kufanikisha ujenzi wa Mradi huo kwa faida ya wakazi wa kata ya Busanda ambayo hadi sasa haina kituo cha Afya zaidi ya zahanati mbili zinazofanya kazi.

Aidha Ndg.Kalima ametoa rai ya kuwa na mikutano ya mara kwa mara ya kujadiliana na kufikia maamuzi ya pamoja sambamba na kupeana taarifa za wazi za fedha ili kuepusha migogoro inayoweza kukwamisha  shughuli mbalimbali za kimaendeleo.

Kwa upande wake Mbunge wa jimbo la Busanda Mhandisi Tumaini Magesa amesema kuwa tayari imekwishatolewa fedha kiasi cha shilingi milioni 500 kwa ajili ya kuchimba barabara inayounganisha Busanda, Kirungure, Buyagu, na Rwamgasa huku akiahidi kuwafuatilia kwa karibu wakandarasi ili barabara hizo zisiwe chini ya kiwango.

Naye diwani wa kata ya Busanda Mh.Selemani Gamala amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza katika kata hiyo Miradi ambayo haikuwahi kutekelezwa kwa muda mrefu ikiwa ni pamoja na kupewa fedha kiasi cha shilingi milioni 210 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 10 kwenye kata hiyo, sambamba na milioni 50 kwa ajili ya kukamilisha zahanati, huku akieleza changamoto ya umbali wa Halmashauri katika kuwapatia huduma wananchi wa kata hiyo.

Awali akitoa taarifa ya Mradi huo Mtendaji wa kata ya Busanda Bi.Victoria Mapunda amesema kuwa ujenzi wa kituo hicho cha Afya ulianza rasmi mwaka 2017 ambapo kwa sasa uko katika hatua ya ufungaji wa lenta ya kwanza ukiwa umegharimu kiasi cha shilingi milioni 23 laki 2 na elfi 1 zilizotumika kununua vifaa mbalimbali vya ujenzi pamoja na gharama za ufundi.

Kata ya Busanda inayoundwa na vijiji vinne vyenye jumla ya vitongoji 15 na wakazi wapatao elfu 23 mia 8 na 47, inakabiliwa pia na changamoto ya maji safi na salama na nishati ya umeme katika vijiji vyote  hivyo vinne, ingawa kuna Mradi mkubwa wa umeme wa gridi ya Taifa ambao unaanzia Mpomvu Geita kuelekea Nyakanazi.  

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa