• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

Posted on: May 13th, 2025

Watumishi wa Umma na wadau wa Maendeleo Mkoani Geita , leo Mei 13, 2025 wamepatiwa mafunzo ya kuzuia Rushwa.

Akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo hayo, Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg.Mohamed Gombati amebainisha Kuwa rushwa ni adui wa haki,usawa na maendeleo katika jamii.

Ndg.Mohamed Gombati ameyabainisha hayo alipokuwa akifungua Warsha ya wadau kuhusu uzuiaji wa rushwa iliyoandaliwa na TAKUKURU wakishirikiana na Mgodi wa Dhahabu wa Geita(GGML) katika Ukumbi wa shule ya Sekondari Aloysius, Manispaa ya Geita.

RAS Gombati amesema lengo la Warsha hiyo ni kujadili,kuandaa mkakati wa namna bora ya kukabiliana na rushwa au viashiria vya rushwa katika shughuli mbalimbali za maendeleo  ambazo zinafanywa na kutekelezwa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML)

Ndg.Mohamed Gombati ameongeza kuwa mapambano dhidi ya rushwa ni jukumu la jamii kwa ujumla na sio TAKUKURU pekee.

" Eneo lolote lenye viashiria ama mazingira ya Rushwa Linarudisha nyuma utoaji wa huduma zetu,  kupunguza kasi ya kukua kwa uchumi katika eneo hilo na kuathiri mazingira ya uwekezaji na biashara" Amesema Katibu Tawala Mkoa wa Geita.

Kwa Upande Wake Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita, Denis Lekayo amesema TAKUKURU  imekabidhiwa sheria ya kudhibiti na Kupambana na rushwa kwa kuweka mifumo rafiki ya utoaji taarifa na kusimamia haki za binadamu Mkoani Geita

Aidha ametoa wito kwa wakuu wa taasisi kutoa ushirikiano wa kuchangia uzoefu,kubadilishana taarifa na kuweka rasilimali za kazi pamoja ili Kupambana na adui rushwa Mkoani Geita kwa lengo la kuinua sekta ya madini kwa kushirikiana na mgodi wa dhahabu wa Geita.

" Watumishi wa Umma ni wawakilishi wa Serikali na wanatakiwa kuwa mfano wa uadilifu katika utekelezaji wa Majukumu yao" Amesema Lekayo.

Warsha hiyo inayotarajiwa kufanyika kwa siku mbili Mkoani Geita inaongozwa na kauli mbiu isemayo"kuzuia rushwa ni jukumu lako na langu tutimize wajibu wetu"

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa