• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

RC SENYAMULE APONGEZA HATUA YA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SAMIA SULUHU HASSAN

Posted on: April 26th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe. Rosemary Senyamule amepongeza hatua ya mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Samia Suluhu Hassan inayojengwa katika eneo la Mtakuja lililopo katika kata ya Katoro kwa gharama ya shilingi milioni mia nne  na sabini.

Akiwa katika ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita April 25, 2022 Mhe. Senyamule ametembelea mradi huo uliopewa jina la Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kutambua mchango wake katika miradi ya huduma kwa wananchi, ambapo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa kusimamia vizuri mradi huo unaoendelea kwa kasi huku akishauri kuongeza nguvu zaidi ili mradi huo ukamilike kwa wakati.

Akitoa taarifa ya Mradi huo Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Katoro George Hezron amesema kuwa mradi huo ulianza kutekelezwa Januari 28, 2022 ukiwa na jengo la utawala maktaba, jengo la Tehama, matanki mawili ya maji, majengo matatu ya maabara za kemia, fizikia, na bailojia.

Aidha majengo mengine ni  matundu 20 ya vyoo, ujenzi, wa sehemu ya kunawia mikono na vyumba 8 vya madarasa, ambapo mradi huo ukikamilika unatarajiwa kupunguza msongamano wa wanafunzi katika shule ya sekondari Katoro.

Awali Mhe.Senyamule alianza ziara yake kwa kukagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Katoro inayojengwa kwa gharama ya Tshs. bilioni 2.2 kutoka Serikali kuu iliyoelekezwa katika vifaa na majengo ya kitengo cha matibabu ya dharura, wodi za magonjwa ya wanaume na wanawake.

Aidha majengo mengine ni pamoja na wodi ya watoto,  jengo la kuhifadhia maiti, jengo la kuchomea taka, uzio, na nyumba za watumishi 3 kwa 1.

Mhe. Senyamle baada ya kuzungumza na mafundi ili kufahamu changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo, akatoa wito kwa Halmashauri zote kutoa fedha kwa wakati ili mafundi wasikwame kuendelea na kasi ya ujenzi wa miradi mbalimbali wanayokuwa wamepewa kwa kusubiri fedha.

wakati huo huo ametoa wito kwa mafundi hao ambao ni sehemu ya jamii kutumia vyema fursa waliyoipata kwa kujenga miradi bora na kuimaliza kwa wakati uliopangwa, sambamba na kuimarisha ulinzi na usalama wa vifaa na miundombinu hiyo kwa ujumla ili iwanufaishe wananchi kama Serikali inavyokusudia.

Kwa upande wake msimamizi wa mradi wa Hospitali ya Katoro Eng. Khamis Abeid Ngonde ameahidi kuongeza nguvu kazi, na kufikia April 28, watakuwa wameshafunga taa kwa ajili ya kufanya kazi usiku na mchana ili Mradi huo ukamilike kabla ya May 30, 2022 kama alivyoagiza Mhe. Mkuu wa mkoa.


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa