• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

RC SENYAMULE AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA KWA HATUA ILIYOFIKIA KATIKA UJENZI WA MIRADI YA UVIKO 19

Posted on: December 8th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa  Geita Rosemary Senyamule ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa hatua iliyofikia katika ujenzi wa vyumba vya madarasa unaoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia fedha za Uviko 19.

Akiwa Mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania yaliyofanyika katika Wilaya ya Geita Decemba 7, 2021 katika shule ya Sekondari Nyamigota Senyamule amekagua na kuweka jiwe la msingi katika Mradi wa ujenzi wa vyumba sita (6) vya madarasa katika shule ya sekondari Nyamigota.

Aidha amepongeza hatua ya Mradi huo na mingine inayoendelea kujengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita huku akitoa wito kwa wazazi kuwafuatilia watoto wao ili waende shule na wasome kwa bidii kwa kuwa matarajio ya Mheshimiwa Rais Samia ni kuona ufaulu unaongezeka kutokana na uwepo wa madarasa ya kutosha.

Aliendelea kusema kuwa tunaposherehekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania ni vyema kila mwanajamii akatimiza majukumu na wajibu wake ili kufikia matarajio ya Mheshimiwa Rais Samia ya kuona uchumi wa Tanzania ukiendelea kukua.

Awali akitoa taarifa ya maendeleo ya Mradi wa huo Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyamigota Mwalimu Sosthenes Ilagila alisema kuwa shule hiyo ilipata kiasi cha shilingi milioni mia moja ishirini (120,000,000) kwa ajili ya ujenzi wa vyumba sita vya madarasa  ambapo ujenzi ulianza  rasmi novemba 11, 2021 ambapo kwa sasa ujenzi huo umefikia 80%.

Aidha aliendelea kusema kuwa Mradi huo ukikamilika utaongeza ufaulu zaidi kwa kuboresha mazingira ya kufundushia na kujifunzia na pia kuondoa uwezekano wa maambukizi  ya ugonjwa hatari wa UVIKO 19 kwa kuwa wanafunzi na walimu wataweza kukaa kwa umbali unaoelekezwa na wataalamu wa Afya.

Wakati huo huo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mheshimiwa Charles Kazungu ametoa shukrani kwa Mheshimiwa Rais Samia kwa kuiheshimisha Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa kuipatia bilioni 7 na milioni 940 kwa ajili ya Miradi hiyo ya Elimu na Afya.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa