• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

RAS-GEITA ATOA WITO WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

Posted on: August 12th, 2025

Geita-Tanzania

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, Ndg Mohamed Gombati, Agosti 12, 2025 ametembelea na kukagua miradi ya maendeleo itakayotembelewa na Mwenge wa Uhuru Septemba 01,2025 katika Halmshauri ya wilaya ya Geita. 

Katika ziara hiyo Ndg Gombati ametembelea miradi ya afya,elimu pamoja na barabara ikiwemo sehemu ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru katika viwanja vya shule ya sekondari ya Lwezera iliyopo kata ya Lwezera.

Katibu Tawala huyo ametembelea na kukagua miradi hiyo itakayozinduliwa na Mwenge wa Uhuru ili kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa ufanisi mkubwa.

Pamoja na hayo Ndg Gombati ameagiza Wakala wa Barabara Vijijini na Mjini(TARURA) kuhakikisha miundombinu ya barabara inarekebishwa ili ziendelee kudumu na zitumike kwa ufanisi.

Pia katika Ziara hiyo Katibu Tawala Mkoa wa Geita amepongeza uongozi wa hospitali ya Nzera kwa kukamilisha ujenzi wa majengo mapya ya hospitali kwa wakati uliopangwa. Majengo haya ni mojawapo ya miradi mikubwa itakayozinduliwa rasmi wakati wa Mwenge wa Uhuru.

Vilevile Ndg Gombati ametoa agizo kwa  wahusika wote wanaosimamia miradi ya maendeleo kuhakikisha utekelezaji unafanyika kwa wakati uliopangwa ili kuepuka adha na changamoto zitakazoweza kuathiri uzinduzi wa miradi hiyo huku akisisitiza umuhimu wa usimamizi makini ili miradi hiyo itekelezwe kwa mafanikio kama ilivyopangwa.

Aidha, Ndg Gombati amewasisitiza viongozi wote kuwahimiza wananchi wote kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita kushiriki kwa wingi katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru utakaokimbizwa Septemba 01, 2025.

Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kupokelewa katika viwanja vya shule ya Sekondari-Lwezera kata ya Lwezera ukitokea Mkoa wa Mwanza na baadaye kukimbizwa ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita na kufatiwa na Mkesha katika viwanja vya shule ya Msingi Ludete na baadaye kukabidhiwa Manispaa ya Geita Shule ya Msingi Shanta Mine-Mpomvu.

Mwenge wa Uhuru umebebwa na Kauli mbiu: Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA 2025, YACHAPA NETIBOLI, MPIRA WA WAVU NA SOKA!

    August 16, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA GEITA ATEMBELEA TIMU ZA HALMASHAURI SHIMISEMITA TANGA

    August 16, 2025
  • MORALI JUU: WACHEZAJI WA GEITA DC WAPANIA VIKOMBE VYOTE TANGA

    August 15, 2025
  • RAS-GEITA ATOA WITO WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    August 12, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa