• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA WA GEITA, MHE. MARTIN SHIGELA AFURAHISHWA NA KASI YA UKAMILISHWAJI WA MIRADI

Posted on: September 22nd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela Septemba 22, 2024 amefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo itakayotembelewa na Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kupokelewa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Octoba 05, 2024.

Katika ziara hiyo Mhe Shigela ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Geita  sambamba na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Abdallah Komba, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, na wataalamu mbalimbali kutoka halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martin Shigela (katikati) akizungumza jambo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Dr Modest Lwakahemula (kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba (Kushoto) alipokagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya cha Nkome katika kata ya Nkome.

Akiwa katika kata ya Nkome Mhe. Shigela ametembelea mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya cha Nkome, ambako amesifu hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa kituo hicho, akizingatia ubora wa ujenzi na miundombinu ya kisasa katika kituo hicho. Mhe Shigela  pia ametoa pongezi kwa Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, na Diwani wa Kata ya Nkome kwa usimamizi mzuri wa fedha za serikali katika ukamilishaji wa mradi huo.

Mwonekano wa kituo cha Afya cha Nkome, kilichopo kata ya Nkome.

Baada ya ziara Nkome, Mhe. Shigela alikagua ujenzi wa ofisi ya Kata ya Nzera, ambao ujenzi wake umekamilika. Mkuu wa Mkoa  akiwa katika mradi wa ofisi ya Kata Nzera alitoa ushauri kuhusu maboresho kadhaa yatakayosaidia kuimarisha zaidi mazingira na mwonekano wa ofisi hiyo ili watumishi ambao serikali inaendelea kuajiri waweze kufurahia mazingira mazuri ya ofisi hizo.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba (wa pili kulia) akieleza hatua zilizofikiwa katika mradi wa ujenzi wa ofisi ya kata ya Nzera kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martin Shigela (wa kwanza kulia).

Mwonekano wa ofisi ya kata ya Nzera

Mkuu wa Mkoa aliipongeza timu ya usimamizi wa miradi kwa kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati ili iweze kuhudumia wananchi. "Ni muhimu kuhakikisha miradi yote inakamilika ipasavyo na si kuchukua muda mrefu bila kukamilika, jambo ambalo linaweza kuathiri matumizi na huduma kwa wananchi" Amesisitiza Shigela.

 

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa