• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MIRADI YA KUKUZA UCHUMI YAENDELEA KUIMARIKA GEITA DC

Posted on: June 7th, 2021

Katika kuhakiksha wananchi wananufaika na mpango wa fedha za mikopo kwa vikundi  zinazotolewa na Halmashauri zinaongeza tija ndani Halmashauri wilaya Geita imeendelea kuimarisha miradi endelevu ya kiuchumi

Miradi ya maendeleo ndani ya Halmashauri inayosimamiwa na vikundi chini ya uratibu wa Halmashauri ikiwemo ya ufugaji kuku kisasa, kiwanda cha mafuta ya Alizeti cha ushirika Nyabusakama kilichopo kata ya Bugulula vyote vipo katika hatua nzuri.

                                                                                               kiwanda cha mafuta ya Alizeti cha ushirika Nyabusakama kilichopo kata ya Bugulula

Hali hii imefanya kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi CCM wilaya wa Geita wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ndugu Barnabas Mapande  kufanya ziara ya kukagua miradi hiyo.

Katika ziara hiyo ndugu Mapande ameridhishwa na muendelezo wa miradi hiyo ya maendeleo ndani ya Halmashauri  kusaidia wananchi katika uendeshaji wa miradi hiyo na amewataka viongozi mbalimbali kuwahamasisha wananchi kulima zao la alizeti kwa kuwa soko lipo.

Ziara hiyo ya kamati ya siasa wilaya pia imetembelea katika ujenzi wa kituo cha afya kasota mradi uliokatika ukamilishwaji pia maradi wa mabweni ya kisasa katika shule ya Sekondari Bugando kata ya Nzera pamoja naujenzi wa kisima cha maji safi ndani ya shule hiyo.

                                                                                                                                     Mradi wa ufugaji kuku kisasa


                                                                                    Maradi wa ujenzi wa Mabweni ya Kisasa shule ya Sekondari Bugando kata ya Nzera


Tangazo

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA IMETOA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA INAKUTANGAZIA UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA MTAKUJA KATIKA MAMLAKA YA MJI MDOGO WA KATORO June 15, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA IMETOA TANGAZO LA KUWAITA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VIJIJI NA MADEREVA June 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI GEITA DC July 08, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAPANDE AWATAKA VIONGOZI MBALIMBALI KUMSAIDIA MHE. RAIS KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    August 12, 2022
  • MAPANDE AWATAKA WAHANDISI KUONGEZA UMAKINI KATIKA KUSIMAMIA MIRADI YA SERIKALI

    August 11, 2022
  • MAKARANI WA SENSA WATAKIWA KUFANYA ZOEZI HILO KWA UZALENDO MKUBWA ILI KUISAIDIA SERIKALI YAO KUFIKIA MALENGO YALIYOKUSUDIWA

    August 05, 2022
  • DC SHIMO AKABIDHI MKOPO WA PIKIPIKI 5 ULIOTOLEWA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA KWA MAWEMERU BODABODA GROUP

    August 04, 2022
  • Tazama zote

video

Fursa za Uwekezaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa