• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI.

Posted on: December 30th, 2025

Katika jitihada za kutatua changamoto ya uhaba wa madawati katika shule mbalimbali za msingi, Halmashauri ya Wilaya ya Geita imeamua kutumia mapato yake ya ndani kugharamia ununuzi wa madawati hayo.

Akizungumza katika hafla ya kugawa madawati zaidi ya 600 kwa shule za Halmashauri hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Geita, Hashim Komba,  ameipongeza menejimenti ya Halmashauri na Baraza la Madiwani kwa uamuzi wao wa kutenga fedha za ndani kwa ajili ya kutatua changamoto hiyo inayowakumba wanafunzi na walimu.

Kwa upande wake, Kaimu Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya  Geita, Ibrahim Bunangoi, amesema wamepokea kwa mikono miwili maelekezo ya Mkuu wa Wilaya katika kuhakikisha suala la uhaba wa madawati linafanyiwa kazi.

Baadhi ya walimu waliopokea madawati hayo wamesema wanashukuru kwa msaada huo na kuipongeza Serikali kwa kuchukua hatua ya kutatua changamoto hiyo.Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina jumla ya shule za msingi 238, zenye wanafunzi 258,318.

Hata hivyo, madawati yaliyotolewa  ni 677, ambayo yanaweza kutumika na wanafunzi 2,031. Hii ina maana kuwa bado kuna upungufu mkubwa wa madawati katika shule nyingi za wilaya hiyo.

Hivyo, wadau wa elimu wanashauriwa kuendelea kushirikiana na Serikali ili kuondoa changamoto hii na kuhakikisha kuwa watoto wote wanapata fursa ya kujifunza katika mazingira bora.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MUUNGANO WA VIKUNDI VYA ASILIMIA KUMI VYARUDISHA KWA JAMII

    December 31, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI.

    December 30, 2025
  • SERIKALI KUSHUGHULIKIA AFYA, ELIMU, BARABARA LWAMGASA.

    December 21, 2025
  • DKT JAFARI ATEMBELEA UJENZI WA KITUO CHA AFYA LWAMGASA, AIPONGEZA BUCREEF

    December 20, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa