• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI KUSHUGHULIKIA AFYA, ELIMU, BARABARA LWAMGASA.

Posted on: December 21st, 2025

Serikali imesema kuwa, itaenda kushughulikia changamoto kwenye sekta za Afya, Elimu, pamoja na miundombinu ya Barabara ambazo zimekua zikiikumba Kata ya Lwamgasa.

Hayo yamebainishwa na Naibu Wazir kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI, anayeshughulikia masuala ya Afya, Mhe. Dkt Jafari Rajabu (Mb), Disemba 20 katika Kata ya Lwamgasa wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Akizungumza na wananchi wa Kata hiyo wakati akitolea ufafanuzi changamoto hizo zilizoibuliwa na Diwani wa Kata hiyo Mhe. Dkt. Daniel Mabala, Dkt. Jafari amesema kuwa serikali imejipanga kuhakiksha kuwa inaleta ahueni kwa wananchi kwa kuwapatia unafuu kwenye huduma zote za msingi.

"Kuanzia mwakani, kama Serikali tuna mpango wa kuongeza idadi ya watumishi katika sekta ya afya kwenye zahanati zetu na vituo vya afya,  haswa vijijin ili wananchi waweze kupata huduma kwa urahisi. Pia tutahakikisha dawa zinapatikana pamoja na kuwepo gari la wagonjwa pindi Kituo chetu kipya cha afya kitakapoanza kazi." Amesema Dkt. Jafari.

Dkt. Jafari ameongeza kwa kusema kuwa tayari serikali imetenga fedha ili kuyamalizia maboma kwenye shule za Msingi na Sekondari ili wanafunzi waweze kuanza kusoma mnamo Januari mwakani.

Aidha, ameiagiza wakala wa barabara, TANROADS kuhakiksha inakamilisha barabara zinazoiunganisha Lwamgasa pamoja na Kata za Katoro na Nyarugusu kwa kiwango cha Lami ili kurahisisha shughuli za kiuchumi haswa kipindi cha mvua.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MUUNGANO WA VIKUNDI VYA ASILIMIA KUMI VYARUDISHA KWA JAMII

    December 31, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI.

    December 30, 2025
  • SERIKALI KUSHUGHULIKIA AFYA, ELIMU, BARABARA LWAMGASA.

    December 21, 2025
  • DKT JAFARI ATEMBELEA UJENZI WA KITUO CHA AFYA LWAMGASA, AIPONGEZA BUCREEF

    December 20, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa