• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MIAKA 4 YA SAMIA, WATUMISHI WAASWA KUENDELEA KUWAHUDUMIA WANANCHI KWA UPENDO-DC KOMBA

Posted on: March 20th, 2025

Katoro-Geita

Katika Kusheherekea Miaka 4 ya Uongozi wa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu alipo apishwa kuingia madarakani  Machi 19, 2021 kufuatia Kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati  John Pombe Joseph  Magufuli, Watumishi wa umma wametakiwa kuendelea kufanya kazi  kwa upendo na uaminifu kuwahudumia wananchi.

Hayo yameelezwa Machi 19, 2025 wakati Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mhe Hashim Komba alipotembelea Hospitali yenye hadhi ya Wilaya ya Katoro yenye thamani ya shilingi Bilioni 3.7.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba akisalimiana na watumishi katika Hospitali yenye hadhi ya Wilaya Katoro alipofanya ziara kusherehekea Miaka 4 ya Uongozi wa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mhe Komba amewataka watumishi hao kuendelea kuwajibika kwa uaminifu na upendo katika kuwahudumia wananchi. “Nitoe Rai kwa watumishi wa kada ya afya  kuwa waaminifu na wenye upendo, na kuhakikisha  upatikanaji wa vifaa tiba na dawa zinapatikana katika zahanati, vituo vya afya na hospitali ili wananachi  wapate huduma” Amesema Mh Komba.

Mhe Mkuu wa Wilaya ya Geita Hashim Komba akipiga rangi Ukuta katika jengo la Hospitali Katoro alipofanya Ziara Machi 19, 2025 Kusherehekea Miaka 4 ya  Uongozi wa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Aidha Mhe Komba amesema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imeweka zaidi ya  Bilioni 5.6 kwa ajili ya maboresho katika vituo vya afya. “Tunao wajibu wa kumuombea Mhe Rais kwa kazi njema ambazo anaendelea kuzifanya alikuja na kauli mbiu ya kazi iendelee na kweli tumeona namna ambayo kazi njema zimeendelea kufanyika” Ameongeza Mhe Komba.

Ujenzi wa Hospitali ya Katoro  umesaidia kupunguza mlundikano wa wananchi wanaokuja kupata huduma  kutoka vituo vya afya vya jirani kutoka kata za Lwamgasa, Magenge, Kaseme,Chikobe, Chibingo, Kasamwa, Nyawilomwela, Butundwe.

Baadhi ya Picha Hospitali yenye Hadhi ya Wilaya-Katoro ambayo ujenzi wake unatekelezwa kwa njia ya Force Account ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Geita inanunua vifaa na kuajiri mafundi Mahalia kwa mkataba (Local Fundis)

Hospitali ya Katoro ni matokeo ya ahadi ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  wa  awamu ya Tano Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliposimama kuwasalimia wananchi wa Katoro-Buseresere nakuahidi kutoa shilingi Bilioni 1.5 ambapo Serikali ya Awamu ya sita imeleta kiasi cha shilingi Bilioni 2.2 ikiwa ni  kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya wanaume, watoto, wanawake, jengo la kuhifadhia maiti, uzio wa hospitali, nyumba ya mtumishi, usambazaji wa maji, na ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharura (EMD)

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa