• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MBUNGE KANYASU APONGEZA UWEPO WA REDIO RUBONDO GEITA.

Posted on: December 24th, 2024

Mbunge wa Geita mjini, Mh. Constantine John Kanyasu amepongeza uwepo wa Redio Rubondo huku akisisitiza kuwa imekuwa na mchango mkubwa katika kuhabarisha umma kuhusiana na mambo yanayotokea kwenye jamii.

Akizungumza mwishon mwa juma lililopita katika tamasha la Funga Mwaka na Rubondo FM lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kalangalala Geita Mjini, Mh. Kanyasu amesema kuwa kupitia matamasha yanayoratibiwa na kituo hicho cha redio kila mwaka, Wwananchi wanapata fursa ya kujua shughul mbali zinazofanywa na redio, pamoja na wasikilizaji wake kupata nafasi ya kukutana na watangazaji wao.

"Lengo la kuwa na matamasha kama haya ni kuwapa wasikilizaji fursa ya kupata ujumbe lakini pia kazi zinazofanywa na redio yetu na kuwafahamu watangazaji wetu. Uwepo wa redio hii unatuunganisha na wananchi kwahyo uwepo wenu unafanya kufikika kwa haraka kwa taarifa. Kwahyo niwapongeze kwa hilo." Amesema Mh. Kanyasu.

Mbunge wa Geita Mjini, Mh. Constantine John Kanyasu amekipongeza kituo cha Redio Rubondo, na kuahidi kuendelea kutoa mchango wake ili kulifanya tamasha hilo kuwa bora zaidi.

Aidha, Mb. Kanyasu pia aliahidi kuendelea kuliboresha tamasha hilo kwa kuhakikisha anagawa vifaa vya michezo kwa timu za mpira wa miguu za wanawake na wanaume hapo mwakani ili kutoa nafasi kwa wananchi kujitokeza zaidi na kushiriki katika michezo.

Meneja Masoko kutoka taasisi ya Fedha ya Gold Micro-Credit, Bi. Diana Gamba amewapongeza waandaji wa tamasha la Funga Mwaka na Rubondo FM, pamoja na kusisitiza kuendelea kushirikiana na kituo hicho cha redio.

Meneja Masoko kutoka taasisi ya fedha ya Gold Micro-Credit, ambao pia walikuwa wadhamin wa tamasha hilo, Bi. Diana Gamba, ametoa salamu za pongezi kwa waandaaji wa tamasha pamoja na kuahidi kuedelea kushirikiana na kituo cha Redio Rubondo ili kuleta matokeo chanya kwenye jamii.

Timu ya Watangazaji wa kituo cha Redio Rubondo FM.

Kwa upande wake Meneja wa Vipindi kutoka Redio Rubondo, Ndg. Garos Riwa amesema kuwa wataendelea kushirikiana na wadau mbali mbali ili kulifanya tamasha hilo kuwa bora zaidi, pamoja na kuwashukuru wasikilizaji na wafuatiliaji waliojitokeza kwenye tamasha hilo.



Baadhi ya Wasanii wa kizazi kipya wakitoa burudani kwa wananchi waliojitokeza kwenye tamasha la Funga Mwaka na Rubondo FM.


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa