• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAGARO AKAGUA MRADI WA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI NYAKADUHA-GEITA DC

Posted on: October 26th, 2023

Na: Hendrick Msangi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndugu Karia Rajabu Magaro, amefanya ziara kwenye mradi wa shule ya Sekondari Nyakaduha iliyopo kata ya Isulwabutundwe Halmashauri ya Wilaya hiyo. 

Ziara hiyo ni sehemu ya utaratibu wa Mkuregenzi huyo kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa za serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ujenzi huo wenye jumla ya madarasa 8 maabara 3, chumba cha kompyuta (ICT room) 1, maktaba 1, matundu 8 ya vyoo na jengo la utawala 1 unatekelezwa na fedha za SEQUIP ambazo ni jumla ya shilingi 584,280,029.

Katika ziara hiyo Magaro alimtaka Mkuu wa shule hiyo Mwalimu Mvugusi Laurence ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi wa shule hiyo kushirikiana na Kamati zote zinazohusiana na mradi huo ili  ukamilike mapema kwani muda wa kukamilika kwa mradi huo umeshapita.

” Hakikisheni vifaa vinanunuliwa kwa pamoja sio kununua vifaa nusunusu ambapo kunaongeza gharama za usafirishaji, ili kazi ifanyike kusiwepo sababu ya ukosefu wa vifaa. 

Pia malipo yafanyike kwa wakati kwa mzabuni anayeleta vifaa na kwa mafundi ili kuongeza kasi ya kukamilika kwa mradi huu.” alisema Magaro.

Aidha alielekeza idadi ya mafundi kuongezeka kwani ni wachache kulinganisha na kazi iliyopo pamoja na kukaa na kamati ya manunuzi  pamoja na mzabuni kufanya kazi kwa pamoja na sio kuweka maslahi mbele ili mradi huo ukamilike mapema.

Ndugu Karia Rajabu Magaro Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita akikagua Ujenzi wa Mradi wa Shule ya Sekondari Nyakaduha kata ya Isulwabutundwe.

Mradi huo utakapokamilika utaweza kuchukua jumla ya wanafunzi 205 kutoka shule za msingi za Nyakaduha (95) Mlimani (41) na Igaka (69) Halmashauri ya Wilaya ya Geita inaishukuru serikali kwa kutenga fedha nyingi kwa ajili ya mradi huo ambapo utakapokamilika utawanufaisha wanafunzi wanaotembea umbali mrefu kwenda kwenye shule nyingine.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa