• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WAPIMWA AFYA

Posted on: November 16th, 2023

Na: Hendrick Msangi

Madiwani kutoka Halmashauri ya wilaya ya Geita leo Novemba 16, 2023 wamepata huduma ya upimaji wa afya na timu ya madakari kutoka hospitali ya Nzera iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Zoezi hilo limeafanyika wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani ukiendelea kwa siku mbili Novemba 15 na 16 ambapo waheshimiwa madiwani walijitokeza  kwa ajili ya upimaji wa afya kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwa ni wiki ya maadhimisho ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza yenye kauli mbiu “Usijasahau jali Afya yako”

Awali akitoa elimu juu ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza , Dkt Manigina Filemoni ambaye pia ni mratibu wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza Wilayani Geita amesema utafiti unaonyesha  magonjwa hayo ambayo ni Kisukari, seli mundu na presha (BP) yamekuwa na athari kubwa sana  ambapo asilimia 33 ya vifo vinatokana na magonjwa hayo.

Waheshimiwa Madiwani wakiwa kwenye foleni katika zoezi la upimaji wa afya kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza, zoezi hilo limeambatana na kikao cha baraza la madiwani linalomalizika leo Nevemba 16, 2023.

Aidha Dkt Manigina alisema lengo kuu ni kuendelea kutoa elimu na kuwajengea uelewa wananchi juu ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza na kuwataka Madiwani hao kuwa mfano kwa kupima afya zao na kuwasisitiza kuwa makini na mtindo wa maisha ambao umekuwa ukichangia kwa kiasi kikubwa magonjwa hayo “Usipokula chakula kama dawa utakula dawa kama chakula hivyo ni vema kupima mapema ili kuwahi kugundua tatizo na kuchukua hatua mapema” alisema Dkt Manigina.

“Lengo la juma hili kutoa uelewa na kufanya uhamasishaji wa kufanya vipimo vya magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwa ni pamoja na kuanza na viongozi ili waeze kuchukua hatua madhubuti kwa kutoa elimu kwa wananchi ili kuinusuru jamii na kupunguza athari za magonjwa yasiyo ya kuambukiza,” alisema Dkt Manigina.

Dkt, Manigina Filemoni ambaye ni mratibu wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza Halmashauri ya Wilaya ya Geita akitoa ushauri kwa Mheshimiwa Daudi Mlekwa Diwani kata ya Nyamboge

Wakieleza kuhusu huduma hiyo baadhi ya madiwani akiwepo Mhe Renatus Ndelembi diwani wa kata ya Nyawilimilwa alisema amepima afya na amepokea ushauri wa Madaktari ambapo ataanza kuchukua tahadhari juu ya magonjwa yasiyo yasiyo ya kuambukiza.

“Nimepata ushauri mzuri wa madaktari wamesema nisizidishe chakula kingi cha wanga, uzito wangu upo sawa nipo vizuri nitaendelea kufanya vipimo mara kwa mara” alisema Mhe. Ndelembi.

Naye Diwani wa kata ya Bukondo Mhe Thomas Msongareli ameshauri wananchi ambao hawana desturi ya kupima afya zao wajitokeze kwa wingi ili kujua afya zao kabla athari hazijawa kubwa.

Madiwani hao waliishukuru serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kurahisisha huduma za afya  kwa kuendelea kutoa  vifaa  vya kupima  afya ambapo zoezi hilo halina gharama kwa kipindi cha maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza pamoja  na kuwajali watu wake kwani ndio rasilimali ya maendeleo ya Taifa.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa