• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WAPATA MAFUNZO MATUMIZI YA MFUMO WA E-BOARD

Posted on: March 26th, 2024

Na: Hendrick Msangi

MADIWANI kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Machi 25, 2024 wamepata mafunzo ya jinsi ya kutumia mfumo wa e-board ambao umetengenezwa kwa ajili ya kurahisisha shughuli za vikao/mikutano katika taasisi ikiwemo utunzaji wa nyaraka pamoja na shughulizi nyingine za taasisi zinazohusiana na vikao kwa kupitia matumizi ya Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA)

Awali akifungua mafunzo hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mhe Charles Kazungu aliwataka madiwani hao kuzingatia mafunzo hayo kwani Teknolojia imebadilika ili kuweza kuendana na mabadiliko ya Teknolojia ya habari na mawasiliano.

Mwenyekiti wa Halmashauri akifungua mafunzo ya mfumo wa e-board yaliendeshwa na wataalam kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita. Mafunzo hayo yatawasaidia madiwani wa Halmashauri  kuendesha vikao kidijali 

Akiendesha mafunzo hayo, Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya  Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ndugu Frank Makonda alisema mafunzo hayo  kupitia mfumo wa e-board  yatawawezesha  watumiaji kuhudhuria  na kufanya vikao mbalimabli popote duniani kwa kuandika ujumbe wa maneno (Chating) kuongea (audio) na kwa picha za mjongeo (video  conferencing)

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakiwa kweye mafunzo ya mfumo wa e-board kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Aidha Makonda alisema mfumo wa e-board ulibuniwa kwa sababu ya mambo mbalimbali ambayo yalijitokeza katika kuendesha vikao ikiwepo gharama za uzalishaji wa kabrasha za vikao na kuwafikia wajumbe, mfumo kuweza kuhudumia idadi kubwa ya wajumbe na kupelekea mahudhurio ya vikao kuwa makubwa, kutumia muda mrefu  wa kuandaa vikao , mfumo kuwezesha watumiaji walio mbali kushiriki vikao,  pamoja na kuibuka kwa janga la ugonjwa wa korona (COVID 19) ambao wajumbe waliweza kuendesha vikoa pasipo kukutana kuepuka maambukizi ya ugonjwa korona.

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakifuatilia mafunzo ya matumizi ya mfumo wa e-board ili kuwajengea uwezo wa kuendesha vikao vya Halmashauri kidijitali.

Halmashauri imewawezesha madiwani wa kata zote 37 za Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupata vishikwambi vilivyo nunuliwa kupitia mapato ya ndani kwa gharama za shilingi 46,020,000 kwa ajili ya kuwasaidia kufanya vikao kidijitali.

Akifunga mafunzo hayo, Mhe Kazungu aliwashurukuru wataalam kwa kuendesha mafunzo mazuri kwa waheshimiwa madiwani  na kuwataka Waheshimiwa madiwani kuendelea kufanya mazoezi ya kuutumia mfumo huo ili kuufahamu zaidi  ikiwa ni pamoja na kuwataka wataalam wa Halmashauri kuendelea kutoa ushirikiano kwa madiwani ili kuendelea kuwajengea uwezo wa kuutumia mfumo huo.        

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa