• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA HABARI WATAKIWA KUTOA MREJESHO KWA WANANCHI MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI-MHE HEMED SULEIMAN ABDULLA

Posted on: April 3rd, 2025

Unguja-Zanziber

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla Leo Aprili 03,2025 amefungua Mkutano Mkuu wa 20 Maafisa Habari,  Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini katika ukumbi wa Mikutano wa New Amani Hotel Zanziber. 

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Maafisa Habari, Itifaki na Uhusiano Serikalini katika ukumbi wa Mikutano wa New Amani Hotel Zanziber alipozindua Kikao Kazi cha 20.

Akifungua Kikao Kazi cha 20 Mjini Unguja kwa niaba ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanziber Mhe Dkt Hussein Ally Mwinyi, Makamu huyo amewataka Maafisa Habari nchini kutoa mrejesho kwa wananchi kwa kazi zinazotekelezwa na Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (MB) akizungumza na Maafisa Habari Itifaki na Uhusiano Serikalini katika ukumbi wa Mikutano wa New Amani Hotel Zanziber katika Kikao Kazi cha 20

" Taarifa za miradi inayotekelezwa na Serikali zote mbili  ziwafikie wananchi kwa wakati ili waweze kufanya tathmini ya taarifa za kina za utekelezaji wa miradi ili waweze kufanya maamuzi kuelekea Uchaguzi Mkuu " Amesema Mhe Hemed Suleiman Abdulla.

Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Mhe Gerson Msigwa akizungumza katika Kikao Kazi cha 20 katika ukumbi wa Mikutano wa New Amani Hotel Zanziber 

Pamoja na hayo Mhe Hemed Suleiman Abdulla amewataka Maafisa Habari kuongeza Juhudi za kutangaza miradi yote inayotekelezwa na Serikali ili kuimarisha utawala bora.


Maafisa Habari Itifaki na Uhusiano Serikalini katika ukumbi wa Mikutano wa New Amani Hotel Zanziber katika Kikao Kazi cha 20

Vilevile Mhe Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa Maafisa Habari kuendelea kumuunga mkono Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan  kwa kazi anazozifanya kuliongoza Taifa ikiwa ni pamoja na kumuombea dua.

Akihitimisha hotuba yake Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali itaendelea kukamilisha miradi yote ikiwepo mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na Reli ya kisasa  ya SGR 

Kikao Kazi hicho kimelenga kutoa Mafundo na Mazingativu kwa Maafisa Habari wa Tanzania Bara na Zanzibar na kufanya tathimini kwa kazi zilizofanyika kwa mwaka mzmzima.

Makala zilizowasilishwa ni pamoja na Uzoefu wa vyombo vya habari katika kufanikisha  chaguzi zilizopita, Wajibu wa jeshi la polisi katika kufanilisha uchaguzi Mkuu na kuhakikisha usalama wa wananchi na waandishi wa habari watakaoshiriki kwenye  kuandika habari za Uchaguzi.

Makala nyingine  zilizowasilishwa ni Maadili ya vyombo vya habari na waandishi wa habari wakati wa uchaguzi, Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge  na Madiwani, Wajibu wa Maafisa Habari kutoa taarifa za maendeleo kwa wananchi kupitia vyombo vya habari.

Vilevile makala nyingine ambazo Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini waliweza zipata ni Fursa zilizopo Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) katika kutangaza habari za  maendeleo na matumizi ya takwimu kwa maendeleo endelevu.

Kikao Kazi hicho kitaendelea kwa siku 4 hadi Aprili 6,2025 ambapo kitahitimishwa.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa