• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Kasi ya maambukizi ya UKIMWI Halmashauri ya wilaya Geita yaongezeka

Posted on: December 1st, 2019

Jumla ya watu 8341 waliopima ugonjwa wa UKIMWI katika Halmashauri ya wilaya ya Geita ndani yamiezi 10 mwaka huu wamepatikana na  UKIMWI

Takwimu hizo zimetolewa na mratibu wa UKIMWI katika halmashauri ya wilaya ya Geita  Patricie Nsinde wakati wa maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yaliofanyika Disemba  1 katika kijiji cha Bugalama mkoani  Geita ambapo waliopima walikuwa zaidi ya lakimoja na 8,341 ndiyo wamepatikana na maambukizi.

Katika taarifa hiyo takwimu za maambukizi ya virusi vya UKIMWI na magonjwa ya ngono jumla ya watu waliopima katika kipindi cha mwezo Januari hadi Oktoba  2019 ni 116,340 kati ayo waliogundulika kuwa na VVU ni 86641 (Me 3,316 na Ke 5325 ) sawa na asilimia 7.4 kiwango hiki ni kimeongezeka  kwa asilimia 1.8ikilinganishwa na takwimu za mwaka jana ambapo maambukizi yalikuwa ni sawa na asilimia 5.6

Katika majadiliano hayo ya pamoja katika siku hii ya UKIMWI duniani hali inaonyesha wanawake ndio waathirika zaidi hali inayotajwa na wataalamu wa afya kusababishwa na maambukizi sugu ya magonjwa ya ngono kama Kaswende yanayoshambulia via vya uzazi.

Utafiti wa kitalaamu unazitaja changamoto za,Ushamili wa maambukizi mapya kwa vijana,Mwitikio mdogo wa wanaume kujitokeza kupima VVU,Uhaba wa fedha kwa ajili ya  utekelezaji wa afua za kupambana na UKIMWI pamoja na uhaba wa wataalam wa idara ya afya  ndio chanzo cha kuongezeka kwa maambukizi ya VVU.

Katika hatua nyingine kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Oktoba 2019 ,Halmashauri ya Wilaya ya Geita imefanikiwa kutumia shilingi za Tanzania 5,000,000/= kuwezesha watu wanaoishi na VVU kutekeleza majukumu yake Vilevile kiasi cha shilingi za Tanzania 5,772,000/= zimetumika kuhudumia watoto 84 yatima na wanaoishi katika mazingira tete.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa