• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA SIASA WILAYANI GEITA YAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI USIMAMIZI MZURI FEDHA ZA MIRADI

Posted on: January 12th, 2025

Kamati ya Siasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Geita imempongeza Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa Usimamizi mzuri wa Fedha za Miradi ya Maendeleo.

Hayo yameelezwa katika Ziara ya Siku mbili Januari 9 na10, 2025 iliyofanywa na Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake Komredi Barnabas Mapande katika jimbo la Busanda na Geita.

Mapande ameipongeza ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa kusimamia vema fedha za miradi zinazoletwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kamati hiyo ikiwa katika Hospitali ya Wilaya kata ya Nzera ambapo imetembelea ujenzi wa Uzio wa Ukuta wenye thamani ya Shilingi Milioni 225,000,000 imesema Uzio huo ni muhimu kwa Hospitali hiyo ili kuweka mazingira mazuri yenye utulivu na usalama kwa Watumishi na hata wagonjwa kutoka Sehemu mbalimbali wanaofika Kupata huduma katika hospital hiyo.



Ujenzi wa Uzio katika Hospitali ya Wilaya Nzera wenye thamani ya Shilingi Milioni 225,000,000. Ujenzi wa uzio huo utasaidia kuongeza usalama wa mali za Hospitali na watumishi wake na kuboresha mazingira ya utendaji kazi.

Akizungumza mbele ya Kamati ya Siasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt Shadrack Omega amesema kukamilika kwa Uzio huo kutapelekea mazingira mazuri kwa watumishi wa Hospitali pamoja na wagonjwa wanaofika Kupata huduma katika hospital hiyo.

“Kulikuwa na matukio ya wagonjwa kutoroka, wengine kung'atwa na mbwa na wakati mwingine mifugo kuingia katika eneo la hospitali ila kwa sasa Uzio utakuwa suluhu" amesema Dkt Shadrack Omega.


Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya-Nzera Dkt Shadrack Omega akizungumza mbele ya Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Geita ambapo ameishukuru Serikali inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha ujenzi wa Uzio wa Hospitali hiyo inayohudumia wananchi kutoka maeneo mbalimbali

Kamati hiyo imemtaka fundi anaye jenga uzio huo kuendelea na Kasi ya ujenzi ili ukuta huo ukamilike haraka na kuepusha adha mbalimbali zilizo kuwa zinajitokeza katika Hospitali hiyo ya Wilaya.

Ujenzi wa ukuta wa Hospitali ya Wilaya –Nzera unatarajiwa kukamilika Machi 10, 2025 ambapo mpaka sasa asilimia za utekelezaji ni 45% ukijumuisha nyumba ya mlinzi na uzio(fence)


Mwenyeki wa Chama Cha Mapinduzi Wilayani Geita Komredi Barnabas Mapande (Aliyeshika kipaza sauti) akiwa na wajumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya katika Ziara ya Kukagua Miradi ya Maendeleo katika Hospitali ya Wilaya-Nzera ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Halmashauri ya Wilaya ya Geita inaendelea kuishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa nia yake njema kutoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ikiwa ni pamoja na ujenzi  wa uzio ili kuwezesha usalama wa hospitali na kuboresha mazingira ya kazi,

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa