• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

INYESHE MVUA LIWAKE JUA MIRADI YA MAENDELEO LAZIMA IKAMILIKE –DC KOMBA

Posted on: May 24th, 2024

Nyakamwaga-Geita DC

Na: Hendrick Msangi

Operesheni ya kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero za wananchi Halmashauri ya wilaya ya Geita kwa kata 9 imekamilika kwa awamu ya kwanza ambapo Mhe Hashim Komba akiwa na kamati ya ulinzi na usalama, Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja Taasisi za serikali ikiwepo TANESCO, TAKUKURU, RUWASA na TARURA wameshiriki zoezi hilo.

Ziara hiyo imehitimishwa kwa kutembelea miradi ya maendeleo kwa vijiji 7 vya Kata ya Nyakamwaga ambavyo ni Iponyamakalai, Buyagi,Bufunda,Kashishi, Ihemelo, Kasongamile na Nyakamwaga

Ujenzi wa vyumba  3 vya madara  Shule ya Msingi Iponyamakarai  kwa nguvu za wananchi kwa kiasi cha shilingi milioni 18 ambapo  wananchi hao wamemuomba Mkuu wa Wilaya kuweka msukumo ili vikamilike. Aidha wazee wa kijiji hicho wameishukuru Serikali kwa kupokea kiasi cha  shilingi 29,854,000 kwa kuwezesha kaya masikini 53

Katika operesheni hiyo Mhe Komba ameendelea kuwasisitiza watumishi wa umma kuwa na uchungu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kutoa onyo kali kwa watumishi wa umma na wakandarasi watakaokwamisha miradi.” Tuwe na uchungu wa kusimamia wadau wa maendeleo ili miradi iwe na thamani ya fedha zinazoletwa na serikali.” Amesema Mhe Komba.

Ukamilishwaji wa mradi wa Zahanati ya kijiji cha Bufunda kata ya Nyakamwaga. Mradi huo  uliibuliwa mwaka 2016 na kuanza kutekelezwa mwaka 2017 huku hatua za uchimbaji hadi boma zikifanywa na wananchi kwa gharama ya shilingi 9,982,000 na hatua za uwezekaji zikifanywa na Halmashauri kupitia mfuko wa CSR kwa kutoa vifaa vya ujenzi na malipo ya mafundi.

Mradi wa Zahanati ya Ihemelo ulianzishwa mwak 2019 na kugharimu kiasi cha shilingi 17,800,000 ambapo kiasi cha shilingi 10,000,000 ni mapato ya ndani ya Halmashauri na shilingi 7,800,000 kutoka nguvu za wananchi. Zahanati hiyo ikikamilika  itawanufaisha wazee , watoto na mama wajawazito kwa kupunguza umbali wa kufuata huduma za afya.

Aidha amewataka watumishi wa umma kuzitumia nafasi walizo nazo kuwasaidia wananchi kwa kushuka chini kuwasikiliza kero na changamoto walizo nazo wananchi na kuzitatua kwa kuzingatia haki na wajibu ili kuepuka migogoro  mbalimbali kutoka kwa wananchi  badala ya kuwasubiria viongozi wakubwa kufika kutatua kero zao.

Ujenzi wa daraja la mlamaki (4mx2m) barabara ya Kagu-senga na daraja la kasungamile (2mx2m) barabara ya katoro-nyabulolo-nyalwanzaja unaotekelezwa na mkandarasi Samma Estate Limited kwa gharama ya shilingi 145,001,350. Mradi huo unatarajiwa kukamilika ifikapo  August 22, 2024 ambapo shughuli  za usimamizi wa daraja hilo zinafanywa na Wakala wa Barabara  za Mjini na Vijijini (TARURA)

”Nataka nione watumishi wa umma wanaosikiliza kero za wananchi. Nafasi tulizo nazo leo haimaanishi  kwamba sisi ndio watu muhimu sana kuliko watu wengine , ukiona wewe ni mtendaji wa kijiji au kata  jua kabisa wapo watu wengine wana sifa za kuwa watendaji wa vijiji au kata  lakini hawajapata nafasi .”amesisitiza Mhe Mkuu wa Wilaya.

Ujenzi wa nyumba ya mtumishi pacha  Zahanati ya Nyakamwaga wenye thamani ya shilingi 53,239,152 ambapo nguvu za wananchi  ni kiasi cha shilingi 1,500,000, Mapato ya ndani shilingi 10,000,000, mfuko wa CSR shilingi 41,739,152

“Huwa nina waambia watumishi wa umma wenzangu unaweza ukawanyanyasa watu  kwa kupokea rushwa  na kujipatia fedha nyingi ila wakati una staafu tuu Mungu  ana namna yake ya kuhangaika na machozi ya watu ulio wanyanyasa kwa  kuwadhulumu haki zao wanapomlilia Mungu  utashangaa mara unapata kisukari,  magonjwa ya presha hata kuparalaizi unaanza kutumia zile hela ambazo uliwadhulumu wananchi kwa nafasi uliyopewa kuwatumikia.” Ameongeza Mhe Komba

Mhe Mkuu wa Wilaya ya Geita Hashim Komba akiwa na Diwani wa Kata ya Nyakamwaga Mhe Thomas Kayange (Aliyevaa Kofia) wakaki alipofanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika kata hiyo

Mwisho amewataka wananchi hao kuendelea kudumisha amani na utulivu kwa kuwa taifa limejengwa katika misingi ya upendo na kuendelea kuiamini serikali inayo ongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa