• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUITENGEA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 7.9 KWA AJILI YA MIRADI YA ELIMU NA AFYA

Posted on: November 13th, 2021

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita limemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuitengea  Halmashauri hiyo ya Wilaya ya Geita bilioni 7 na milioni  940  kutoka Fedha za Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Ustawi na Mapambano Dhidi ya Uviko 19  kwa ajili ya Miradi ya Elimu na Afya.

 Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo siku ya pili ya mkutano  wa kawaida wa baraza la Madiwani wa robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2020/2021 Novemba 12, 2021 Diwani wa kata ya Isulwabutundwe Mheshimiwa Maweda Gwesandili.

Ametoa shukrani hizo huku akisisitiza ushirikiano wa karibu katika usimimizi wa Miradi itakayotekelezwa kupitia fedha hizo.

Awali taarifa ya Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Ustawi na Mapambano Dhidi ya Uviko 19 iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Paul Wanga ilieleza kuwa Mikakati yote iliyowekwa katika kikao cha Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Geita cha Tarehe 20/10/2021 imetekelezwa ikiwemo uteuzi wa kamati mbalimbali za usimamizi.

Kamati hizo zimepewa jukumu la kusimamia Miradi hiyo kwa ukaribu na kutoa taarifa za haraka kwa mamlaka za juu pale zinapokumbana na changamoto zozote katika kutekeleza majukumu hayo  ili kuharakisha ujenzi wa Miradi hiyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Geita Barnabas   Mapande yeye amesema kuwa wao kama Chama wana Jukumu la kufuatilia na kuona namna fedha hizo zinavyofanya kazi hivyo ametoa wito wa kuandaa taarifa zenye mchanganua wa matumizi ya fedha hizo kwa usahihi huku akiahidi kuwawajibisha watakaozitumia kwa maslahi yao binafsi.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa