• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAJA NA KAMATI ZA KUSIMAMIA UJENZI WA MIRADI YA CSR

Posted on: October 7th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Geita imeamua kuunda kamati za ufuatiliaji, ujenzi, manunuzi na mapokezi kwa ajili ya kuratibu shughuli za ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili kuongeza ufanisi katika kutekeleza miradi hiyo.

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakiendelea na Mkutano

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Paul Wanga akiwa katika mkutano maalumu wa baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita  Oktoba 5 2021, wa kujadili mapendekezo ya mpango na bajeti ya CSR wa mwaka 2021 amesema kuwa timu ya menejimenti imeamua kufanya hivyo kwa kuwa Halmashauri ni kubwa na ina upungufu wa Wahandisi.

Amesema kuwa kamati hizo zitafanya kazi kwa mgawanyo wa majukumu kama zinavyojieleza ambapo kamati ya manunuzi itanunua vifaa vitakavyopokelewa na kamati ya mapokezi, huku Mhandisi na Mtendaji wakiongoza kamati ya ujenzi ambapo pia Diwani wa kata yenye mradi ndio atakuwa Mwenyekiti wa kamati ya ufuatiliaji.

Mbunge wa Jimbo la Busanda (wa kwanza kushoto aliyesimama) Mh.Tumaini Bryson Magesa akizungumza katika mkutano maalumu wa Baraza la Madiwani,(katikati)Mh.Charles Kazungu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita,(wa kwanza kulia)Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita John Paul Wanga

Ameendelea kusema kuwa ameagiza kila kamati iwe na mwanamke ambaye ni Mwanajamii wa sehemu yenye mradi kwa kuwa Mama zetu ni waaminifu sana na hawawezi kurubuniwa kwa urahisi suala litakalopunguza malalamishi yaliyokuwepo ya kuanzisha miradi lakini haifiki mwisho.

Aidha amesema kuwa atahakikisha wanafanya haraka ili wasaini Mkataba wa CSR na Kampuni ya GGML huku akiahidi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo katika kila hatua na kuwataka Madiwani wa kata husika kufanya hivyo pia.


Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakiendelea na Mkutano


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa