• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

Hakuna mtu wa kunyanyasa wananchi asema Nyong'o

Posted on: August 10th, 2018

Naibu Waziri wa Madini Mheshimiwa Stanslaus Nyong’o amewahakikishia wananchi wa kata ya Nyarugusu kuwa  serikali inaendelea kushirikiana nao kuhakikisha wanaishi na kulala salama bila madhara yoyote yatokanayo na athari za migodi hasa milipuko inayosababishwa na wachimbaji  wanaomiliki leseni za uchimbaji.

Akiongea na wananchi wa kitongoji cha CCM kuhusu hatma ya malipo waliyokuwa wanalipwa na mgodi wa Pamoja Mine kuwa serikali yao inawalinda na ni kosa la kisheria kwa mmiliki wa mgodi kukubaliana na wananchi kuwalipa malipo hayo ambayo ni kinyume cha sheria bila wizara au tume ya madini kupitia mikataba hiyo.

Mkazi wa kata ya Nyarugusu bibi Pili Bukwimba akitoa malalamiko yake mbele ya Naibu Waziri Nyong'o juu ya usumbufu wanaoupata kutokana na mitetemo inayotoka migodini

Sambamba na hilo Naibu waziri Nyong’o amemuagiza Mkuu wa wilaya ya Geita Mheshimiwa Joseph Maganga kuwachukulia hatua za kisheria wale wote wanaokiuka sheria za uchimbaji wa madini kwa kuwanyanyasa wananchi kwani  serikali haitovumilia kuona wananchi wake wananyanyasika.

Aidha katika kuhakikisha haki inatendeka Mkuu wa Wilaya ya Geita ndugu Josephat Maganga amemuagiza kamanda wa Polisi wilaya kuwachukua wamiliki wa leseni hiyo ndugu Mbwana Hassan na Abdallah Kibanda pamoja na Meneja Uendeshaji wa mgodi huo ndugu Hezron Enock ili  taratibu za kisheria za kuwafikisha mahakani kwa kukiuka agizo rasmi la serikali la kufunga mgodi huo.

Pichani kushoto ni mmiliki wa leseni ya Uchimbaji bwana Abdallah Kibanda pamoja na Meneja uendeshaji wa Mgodi wa Pamoja Mine bwana Hezron Enock waliokabidhiwa kwa jeshi la Polisi ili taratibu za kisheria  ziendelee baada ya kugundulika walikiuka amri halali ya Serikali

Naibu Waziri Nyong’o ameunga mkono agizo la Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel kuufungia mgodi huo kutoendelea na kazi na kuhakikisha wanafuata taratibu zote za kisheria za kuwalipa fidia wananchi wote walioathirika na milipuko hiyo wakati wa uchimbaji.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBORESHAJIWA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 WAFIKIA KIKOMO GEITA.

    May 08, 2025
  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa