• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC KOMBA AWATAKA WAKANDARASI KUBADILIKA MIRADI YA MAENDELEO GEITA DC

Posted on: May 20th, 2024

Na: Hendrick Msangi

NYALWAZAJA MAY 20, 2024

“Ni muda wa Kubadilika,Miradi ikamilike ili wananchi wafurahie miradi ya maendeleo,” ameyasema hayo  Mhe Hashim Abdallah Komba Mkuu wa Wilaya ya Geita alipotembelea kata ya Nyalwazaja Halmashauri ya Wilaya ya Geita ikiwa ni sehemu ya Ziara yake katika kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi.

Akikagua miradi mbalimbali katika vijiji vya Nyalwazaja, Nyabulolo na Bushishi na Lishe, Mhe Komba amepokea taarifa za miradi ambapo changamoto kubwa ikiwa ni ucheleweshaji wa vifaa vya ujenzi kutokufika kwa wakati na wakandarasi kutokuwa site kukamilisha miradi.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Abdallah Komba ameiagiza Kampuni ya Gesap Engineering Group Ltd  inayotekeleza miradi ya shule na zahanati katika kata Nyalwanzaja kuwa site muda wote ili kazi ikamilike kwa ubora unaotakiwa na kwa kuzingatia mkataba wake ili wananchi waweze kupata huduma katika vituo vya afya na shule ambazo wameanzisha kwa nguvu zao.

Diwani wa kata ya Nyalwazaja Mhe William Bucheyegi, amemuomba mkuu wa wilaya kuendelea kuweka msukumo ukamilishaji wa miradi ili kuwapunguzia wananchi wa kata hiyo adha ya kutembea umbali mrefu kupata huduma za afya.

Gesap Engineering Group Ltd ni Mkandarasi anayetekeleza miradi ya shule na zahanati katika kata hiyo ambapo ametakiwa kuwa site muda wote ili kazi ikamilike kwa ubora unaotakiwa na kwa kuzingatia mkataba wake ili wananchi waweze kupata huduma katika vituo vya afya na shule ambazo wameanzisha kwa nguvu zao.

Mhe Hashim Abdallah Komba amewataka Watumishi wa umma kuendelea kushuka chini kusikiliza kero za Wananchi na kuzitolea majibu ili Wananchi hao waendelee kuwa na imani na Serikali yao inayo ongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mhe Komba ameendelea kuwasisitiza wakandarasi hao kuwa na kasi katika ukamilishwaji wa miradi na sio kufanya maigizo kwani wananchi wanahitaji huduma katika maeneo yao.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC YAPOKEA ZANA ZA KILIMO KUTOKA WIZARA YA KILIMO

    December 01, 2025
  • KATIBU TAWALA MOROGORO DKT MUSSA AZITAKA HALMASHAURI KUUNGA JUHUDI ZA VIKUNDI VINAVYOWEZESHWA NA SERIKALI KULETA MATOKEO CHANYA.

    November 14, 2025
  • WATAALAM KUTOKA MKOA WA GEITA WAPATIWA MAFUNZO UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUKUZA USAWA WA KIJINSIA TANZANIA(PAMOJA)

    November 13, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YASHIRIKI MAFUNZO YA E-BOARD TOLEO LA PILI

    November 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa