• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC ATOA ANGALIZO WATAKAOHUJUMU MRADI WA TASAF

Posted on: May 25th, 2021

DC ATOA ANGALIZO WATAKAOHUJUMU MRADI WA TASAF

MKUU wa Wilaya ya Geita mkoani hapa, Mwalimu Fadhili Juma amewatahadharisha viongozi wa umma kutojaribu kuhujumu na kukwamisha utekelezwaji wa kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya Mpango wa Kusaidia Kaya Masikini Nchini (TASAF) kwani watakapobainika hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Mwalimu Fadhili alisema hayo juzi wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya utambuzi wa kaya masikini halmashauri ya wilaya ya Geita na kusisitiza atakayerudisha nyuma juhudi za kutokomeza umasikini ofisi yake haitamuonea huruma kwani kila mmoja anatakiwa  kuunga mkono mradi huo.

Pia aliwataka viongozi waliochaguliwa kuratibu na kusimamia usajili wa kaya masikini kuendesha zoezi hilo kwa uwazi pasipo udanganyifu ili awamu hii ya mradi iweze kuleta matokeo chanya zaidi na na kufikia adhimio la maendeleo endelevu kwa wilaya ya Geita.

“Huyo mtu ambaye atajaribu kuhujumu mradi, hatutamwacha, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake  na atapotezwa, atapotezwa kwa maana ya hatakuwa na nafasi kwa wilaya ya Geita kwa sababu hatuna nafasi ya kukaa na mtu ambaye ni mhujumu uchumi.

“Kwa wanufaika wa TASAF naomba waendelee kama nilivyojirizisha hapo awali, hii pesa siyo ya starehe, hii pesa haitakuwa endelevu kwamba miaka yote inakuja, na mpango utafikia mwisho,,,  waachane kutumia hizi pesa kwa ajili ya kufanyia sherehe na starehe, wanatakiwa wawekeze miradi ambayo itakuwa endelevu,” alisisitiza.

Mratibu wa malipo ya TASAF kwa njia za kielektroniki, Josephine Joseph akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, alisema kipindi hiki cha mradi usajili na utambuzi wa kaya masikini nchi nzima utafanyika kwa njia ya kielektroniki kwa kutumia vishikwambi, ili kupunguza udanganyifu na uwepo wa kaya hewa uliojitokeza kwa awamu iliyopita.

Mradi ulianza kutekelezwa mwaka 2013 na umeweza kufikia jumla ya kaya milioni moja na laki moja zenye jumla ya walengwa takribani milioni tano sambamba na kuweza kufikia asilimia 70 ya vijiji vyote nchini ambapo kwa kipindi hiki cha pili mradi unatarajia kufikia asilimia 30 iliyobakia na kukamilisha asilimia 100 ya vijiji vyote.

Aidha mradi unatarajiwa kutumia shilingi tillioni 2.03 sawa na asilimia 0.5 ya pato la taifa, ambapo serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania itatoa Shilingi Bilioni 32.2 na kiasi kingine kinatarajiwa kutolewa na wadau wa maendeleo ikiwemo Benki ya Dunia(WB), serikali ya Norway, Switzerland, Umoja wa Ulaya (EU) na mashirika ya umoja wa mataifa.

“Katika kipindi hiki tunategemea kuongeza walengwa kama laki tatu na kufikia walengwa million 1.45 na walengwa watapokea ruzuku kwa njia ya kielektroniki kupitia simu za mkononi pamoja na akaunti za benki au kwa njia ya mawakala na watatumia namba za NIDA  kutambulika,,,, na ruzuku zitakazotolewa ni ruzuku ya msingi, ruzuku ya mashariti na ruzuku ya walemavu,” alifafanua.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa