• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LAAGIZA WATENDAJI WA VIJIJI WALIOKULA HELA ZA WANANCHI KUZIREJESHA KABLA YA KUKABIDHI OFISI-GEITA DC

Posted on: November 16th, 2023

Na: Hendrick Msangi

Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Geita uliofanyika Novemba 15, na 16, 2023  umeutaka Uongozi wa Halmashauri hiyo kuwarudisha kwenye vituo vyao vya kazi Watendaji wa vijiji ambao walihamishwa kwa taratatibu za kiutumishi kwenye vituo vyao vya awali ili wakabidhi ofisi  ikiwa ni pamoja na kulipa madeni ambayo wanadaiwa na wananchi wa vijiji hivyo.

Akizungumza kwenye baraza la Madiwani Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Mhe Charles Kazungu amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuchukua hatua za kiutumishi kwa kuwaandikia barua watendaji hao ambao wameoyesha kukiuka maadili ya kiutumishi na kuwataka warudishe fedha za wananchi walizochangisha kwa ajili ya miradi katika vijiji vyao.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Mhe Charles Kazungu akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kwenye kikao cha Baraza la Madiwani

“Niendelee kusisitiza ofisi ya Mkuregenzi kuwaandikia barua Watendaji hao waende kumalizana na wananchi na wasipofanya hivyo kanuni na taratibu za kiutumishi zitumike juu yao tunahitaji watumishi waadilifu” alisema Mhe Kazungu.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Cornel Maghembe katika baraza hilo ameelekeza uongozi wa Halmashauri unapofanya mabadiliko kuhakikisha watumishi wanaotoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine wanafanya makabidhiano ya kiofisi na kuhakikisha wanamalizana na wananchi. “Mtakumbuka mwenyekiti wa CCM Mkoa alizungumzia vijiji viwili kwenye kata ya Nkome ambayo kuna mtendaji amehamishiwa kwenda kijiji kingine na inasemekana ameondoka na milioni 10 za wananchi “alisema Maghembe

Aidha aliwataka watendaji ambao wamehamishwa wakaripoti kwenye ofisi walizopangiwa na badaye warudi kwenye vijiji vyao kumalizana na wananchi.

Pamoja na hayo Mheshiwa  Faraji Seif amabaye ni Diwani wa kata ya Bukoli ambao watendaji wa vijiji hivyo vya Ntono na Ikina wanakotoka amesema anakiri kuwepo kwa madeni hayo kutoka kwa wananchi ambao amesema iwapo zitafanyiwa uchunguzi zitakuwa ni zaidi ya hizo ambazo wananchi wanalalamika kuchangishwa  na hazikupelekwa benki au kufanya kazi iliyokusudiwa.

Kwa upande wa uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Geita umesema umeliopokea jambo hilo na litafanyiwa kazi kwa uharaka kwa kuchukua hatua stahiki.

 

 

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa