• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

BANDA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA KATIKA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANENAE

Posted on: August 8th, 2024

Kilele cha sikukuu ya wakulima nanenane kanda ya ziwa magharibi kimefanyika viwanja vya Nyamhongolo Mwanza na kuhudhuriwa na wananchi kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza.

Kwa mahitaji ya mbegu za mazao na mifugo unaweza kutembelea ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Geita au Kuwasiliana kwa Simu +225 282520061 au Barua pepe: info@geitadc.go.tz

MAZAO NA MIFUGO

Zao la nanasi aina ya Smooth Cayene ambalo hukomaa ndani ya miezi 18 na kutoa mavuno tani 8 hadi 12 kwa mwaka. Halmashauri ya Wilaya ya Geita inalima kilimo cha nanasi kwa wingi hivyo wawekezaji wanakaribishwa kwa ajili ya kufanya uwekezaji katika zao hilo.

Kilimo cha zao la Mpunga aina ya TXD 306 (SARO 5) ambalo huchukua miezi 4 hadi kukomaa nakutoa mavuno tani 7-8.5 kwa ekari moja.

Kilimo cha zao la Muhogo aina ya Taricass 4 ambalo hukomaa ndani ya miezi 8-12 na kutoa mavuno tani 40-50 kwa hekta.

Zao la viazi lishe aina  ya Blue 1 ambalo hukomaa miezi 3 hadi 4 na kutoa mavuno tani 4 kwa hekta.

Zao la alizeti aina ya HG 50745. Zao hili hukomaa miezi 3 hadi 4 na kutoa mavuno tani 2 hadi 3 kwa hekta.

Ufugaji wa Sungura. Wanyama hawa hutumika kama kitoweo vilevile mkojo wake husaidia kufukuza wadudu wasumbufu shambani/bustani.

Ufugaji wa Mbuzi wa maziwa aina ya Saanen na Toggenberg ambao hutoa maziwa lita 3-5 kwa siku, Bei ya mbuzi hawa huanzia kiasi cha shilingi milioni 1.5 na wanapatikana kata ya Bugulula kwenye kikundi cha wajasiriamali Nufaika.

Afisa Miradi kutoka kanisa la Africa Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Geita ndg Deogratius Ngotio akiwa na Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Geita (aliyevaa kofia) Wakati wa maonesho ya sikukuu ya wakulima nanenane  viwanja vya Nyamhongolo Mwanza

Watumishi na wajasiriamali wakiwa wenye furaha baada ya kupokea kikombe cha ushindi nafasi ya tatu mamlaka ya serikali za mitaa katika viwanja vya maonesho ya kilimo Nyamhongolo Mwanza



Kilimo cha mbogamboga kinapatikana halmashauri ya Wilaya ya Geita ambapo wananchi hujishughulisha na kilimo cha mbogamboga kwa ajili ya chakula na biashara

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa