• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

NGUVU KAZI BUKOLI WAENDELEA KUANDAA BIDHAA KWA AJILI YA MAONYESHO YA DHAHABU

Posted on: September 17th, 2021

Licha ya kukabiliwa na changamoto ya masoko ya kuuzia bidhaa zao, Kikundi cha Nguvu kazi kutoka Bukoli kinachofanya shughuli za ufinyazi, kimejipanga kushiriki kwa mara ya pili katika maonyesho ya Dhahabu yaliyoanza Septemba 16,2021 mkoani hapa.

Akizungumzia maandalizi ya maonyesho hayo mmoja wa wanakikundi hicho Bi.Tausi Rashid amesema kuwa,wanaendelea kuandaa bidhaa mbalimbali  kwa ajili ya maonyesho hayo, ambapo baadhi ya vitu kama majagi,mitungi,vyungu na vyombo vingine viko katika hatua za mwisho za kukamilika.

Baadhi ya bidhaa zinazotengenezwa na Kikundi cha Nguvu kazi kutoka Bukoli

Hata hivyo baada ya kueleza changamoto ya masoko ya kuuzia bidhaa zao ambazo kwa sasa wanatengenezea nyumbani na kuuzia minadani,Afisa biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Bw. Jeremia Mgale, amewashauri kutafuta maeneo ya kuweka na kuuzia bidhaa zao, ili kuepuka changamoto ya kuhamishahamisha bidhaa hizo ambazo wakati mwingine zinavunjika.

Nguvu kazi ni kikundi chenye wanachama watano wanawake kutoka Bukoli ambacho kimeshawezeshwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita mara tatu,ambapo kwa mara ya kwanza kilipatiwa mkopo wa milioni 1 na kurejesha,kisha wakapatiwa tena milioni 2 na kurejesha,na hivi karibuni wamemaliza marejesho yao ya mkopo wao wa tatu wa milioni 5.

Afisa biashara kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Bw. Jeremia Mgale akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanakikundi wa Nguvu kazi Bukoli alipowatembelea kujua muendelezo wa kazi zao.

Aidha wanawake hawa wana malengo ya kufanya vizuri zaidi kibiashara wakati na baada ya maonyesho ya Dhahabu, kwa kuwa uzoefu wao baada ya kushiriki katika maonyesho ya awali unaonesha biashara yao huwa inakua zaidi baada ya kujitangaza katika maonyesho.

  


Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • UBORESHAJIWA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 WAFIKIA KIKOMO GEITA.

    May 08, 2025
  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa