• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

NMB KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA KUCHOCHEA MAENDELEO.

Posted on: October 6th, 2025

Uongozi wa Bank ya Nmb Mkoani Geita , Oktoba 06,2025 umetembelea watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita Makao Makuu ambapo Bank hiyo imeeleza mipango yake katika kushirikiana na watumishi kuchochea shughuli za maendeleo ndani ya Halmashauri na watumishi kwa ujumla.

Akizungumza katika Kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ulipo Nzera,  Meneja wa Bank hiyo Mkoani Geita Ndg  Daniel  Rauya amesema lengo la kukutana na watumishi wa Halmashauri ni kuendelea kutoka elimu ya Kifedha  pamoja na nidhamu ya matumizi ya fedha pamoja na Huduma ambazo Bank ya Nmb inatoa kwa wananchi.

Naye Meneja Mwandamizi  upande wa wateja binafsi wa Bank hiyo kutoka Makao Makuu Bi Beatrice Fussy ameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa namna ambavyo inatoa ushirikiano kwa Bank hiyo katika huduma za Kibenki

Akizungumza kuhusu CSR  Maneja wa Bank hiyo Tawi la Geita Ndg Rauya amesema Bank ya Nmb ipo tayari kuchangia shughuli za maendeleo ndani ya Halmashauri ili kuendelea kuboresha huduma katika jamii.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Dkt Alphonce Bagambabyaki ameushukuru Uongozi wa Benki hiyo kwa kuendelea kutoa  elimu ya Kifedha kwa watumishi wa Halmashauri na kuwa tayari kuchangia shughuli za maendeleo huku akiwakaribisha kuendelea kufika mara kwa mara kutoa elimu.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WATOA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA KUPENDANA.

    October 20, 2025
  • CMT GEITA DC YAWASHUKIA MAFUNDI, WAZABUNI WAPEWA SALAMU USAMBAZAJI WA VIFAA KWA WAKATI.

    October 10, 2025
  • TIMU YA WATAALAMU (M) YATEMBELEA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

    October 09, 2025
  • NMB KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA KUCHOCHEA MAENDELEO.

    October 06, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa