• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

CMT GEITA DC YAWASHUKIA MAFUNDI, WAZABUNI WAPEWA SALAMU USAMBAZAJI WA VIFAA KWA WAKATI.

Posted on: October 10th, 2025

Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Wilaya ya Geita (CMT ) Oktoba 10,2025 imefanya ziara kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kupitia fedha za Serikali Kuu na mapato ya ndani. 

Katika ziara hiyo,  jumla ya miradi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 1.4 imetembelewa zikiwepo shule , Zahanati na vituo vya afya.

Wakizungumza kwa Nyakati tofauti  Timu hiyo imewataka mafundi wanatekeleza miradi hiyo kuongeza kasi na kuzingatia ufanisi wa kazi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na kuwahudumia wananchi. 

Kwa upande  wa wazabuni walioshinda tenda mbalimbali za usambazaji wa vifaa ujenzi  wametakiwa kuhakikisha wanasambaza vifaa hivyo kwa wakati ili miradi hiyo ikamilike. 

Pamoja na Maelekezo kwa mafundi na wazabuni,  timu hiyo ya Menejimenti imewaelekeza wasimamizi wa miradi hiyo kutoa taarifa kwa wakati pale ambapo wanakutana na changamoto zinazopelekea kuchelewa kwa miradi.

Ufuatiliaji wa miradi ni sehemu ya mpango kazi wa Timu ya Menejimenti Halmashauri ya Wilaya ya Geita kuhakikisha miradi inakamilika kwa ufanisi ili kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WATOA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA KUPENDANA.

    October 20, 2025
  • CMT GEITA DC YAWASHUKIA MAFUNDI, WAZABUNI WAPEWA SALAMU USAMBAZAJI WA VIFAA KWA WAKATI.

    October 10, 2025
  • TIMU YA WATAALAMU (M) YATEMBELEA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

    October 09, 2025
  • NMB KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA KUCHOCHEA MAENDELEO.

    October 06, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa