• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA HABARI TANZANIA WATAKIWA KUTOA TAARIFA ZINAZOKIDHI MAHITAJI YA JAMII

Posted on: February 17th, 2025

Mbeya-Tanzania

MKUTANO wa 109 wa washitiri wa vipindi vya Elimu  kwa umma unaofanyika Katika Ukumbi wa City Park Jijini Mbeya umeanza leo Februari 17 na unatarajiwa kuhitimishwa Februari 21, 2025.

Awali akizungumzia mada ya Maafisa Habari na Uchaguzi katika Mkutano huo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt Ayub Rioba  Chacha amewaeleza washitiri juu ya umuhimu (athari za taarifa/Mawasiliano kwa umoja na usalama wa Taifa na wajibu wa washitiri katika kueleza mafanikio ya serikali.

Dkt Rioba amesema ipo haja ya Maafisa Habari kufahamu namna ambavyo wanaweza kuwasilisha taarifa kwa wananchi wa ngazi zote kuhusu mafanikio ya serikali ili wananchi waweze kuelewa taarifa hizo hasa kipindi hiki ambacho Taifa linaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu.

"Maafisa Habari mnao wajibu wa kutoa Taarifa zinazogusa au kukidhi mahitaji ya jamii katika ngazi  zote ili kuleta athari chanya katika jamii" Amesema Dkt Rioba.

Aidha Dkt Rioba amesema katika  kuelekea Uchaguzi Mkuu , umoja  wa Taifa ni muhimu  sana katika kulinda misingi na tunu za Taifa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania ili Nchi iendelee kuwa salama.

" Tunalojukumu  kubwa la Kuisadia nchi yetu kwa kutumia taaluma na utaalam tulio nao kuwaeleza wananchi mambo makubwa na mazuri ambayo yamefanywa na Serikali" Ameongeza Dkt Rioba.

Kwa Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dkt  Venance Mwasse amewataka washitiri wote kuitumia fursa katika Mkutano huo kwa kujifunza kwani Muktadha  wa Serikali inayo ongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuendeleza umoja na amani.

"Unapotoa taarifa  iwe ya kueleweka  ili kuepuka kuleta tafrani  katika jamii hivyo  tunao  wajibu wa kuhakikisha taarifa zinaeleweka ili kuleta athari chanya katika jamii"  Amesema Dk Venance Mwasse.

Vilevile Dkt Mwasse amesema umma unaopelekewa taarifa umebadilika hivyo maafisa habari  watoe taarifa  kwa kuendana na Teknolojia inavyobadilika.

Pamoja na hayo, mada mbalimbali ziliwasilishwa ikiwa ni pamoja na vijana na uhifadhi wa mazingira,  maendeleo binafsi na matumizi bora ya rasilimali na matumizi ya nishati safi.

Mkutano huo umebeba kauli mbiu isemayo : Tumia Nishati Safi , Tunza Mazingira na  utafanyika kwa siku tano ambapo Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Limekuwa likiandaa mafunzo hayo kila mwaka na huo ukiwa ni Mkutano wake wa 109 ambapo wakuu wa Taasisi mbalimbali,  maafisa habari  na mahusiano kutoka Serikalini wanashiriki.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa