• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

KILELE CHA SIKUKUU YA NANENAE GEITA DC YASHIKA NAFASI YA TATU

Posted on: August 8th, 2024

Kilele cha sikukuu ya wakulima nanenane kanda ya ziwa magharibi kimefanyika viwanja vya Nyamhongolo Mwanza na kuhudhuriwa na wananchi kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza.

Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu isemayo chagua viongozi bora wa serikali za mtaa kwa maendeleo endelevu ya kilimo, mifugo na uvuvi yamefanyika kitaifa Mkoa wa Dodoma huku maeneo mengine yakiadhimishwa kikanda.

Wananachi wakiangalia bidhaa mbalimbali katika banda la maonesho sikukuu ya wakulima nanenane katika banda la Halmashauri ya wilaya ya Geita.

Aidha katika maonesho hayo Mkuu wa wilaya ya Geita  Mhe Hashim Abdallah Komba ametembelea banda la Halmashauri ya Geita na kuangalia bidhaa mbalimbali ambazo zimewekwa kwa ajili ya maonesho zinapatikana Halmashauri ya Wilaya ya Geita ikiwemo  kilimo cha nanasi, muhogo, mahindi, alizeti, viazi na mboga mboga.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe Hashim Komba akiangalia bidhaa mbalimbali katika banda la maonesho sikukuu ya wakulima nanenane katika banda la Halmashauri ya wilaya ya Geita maonesho yaliyofanyika katika viwanja vya  Nyamhongolo Mwanza

Pia Mhe Komba ametembelea wafugaji na wajasariamali wanaotengeneza mvinyo wa nanasi ambapo mbali na kusifu ubunifu mkubwa uliofanywa na kikundi hicho ameahidi kuwatembelea wajasiriamali hao ili kuona shughuli za uzalishaji unaofanywa na wajasiriamali hao.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Karia Magaro akiwa ameshika Kombe la ushindi nafasi ya tatu kilichotolewa na mamlaka ya serikali za mitaa katika viwanja vya maonesho ya kilimo Nyamhongolo Mwanza. Wengine ni watumishi wa Halmashauri wakiwa na wajasiramali mbalimbali ndani ya Halmashauri katika kusherehekea ushindi huo.

Halmashauri ya Wilaya ya Geita imekabidhiwa cheti cha ushindi nafasi ya tatu mamlaka ya serikali za mitaa katika viwanja vya maonesho ya kilimo Nyamhongolo Mwanza

Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Geita Ndg Hendrick Msangi akiwa kwenye moja ya bustani ya mbogamboga katika maadhimisho  ya sikukuu ya wakulima nanenane.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa