• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

BUTUNDWE WANG'ARA UMITASHUMTA GEITA DC

Posted on: May 18th, 2024

Walimu pamoja na wenyeviti wa Michezo wa  Tarafa nne zilizopo Halmashauri ya wilaya Geita, wametakiwa kufundisha na kuzingatia vipindi vya michezo shuleni ili wanafunzi waweze kufuzu mashindano yanayoandaliwa Katika ngazi mbalimbali za kitaifa na kimataifa.


Hayo yamesemwa na Afisa elimu msingi Halmashauri ya wilaya Geita Paul Magubiki alipokuwa mgeni rasmi kwenye Hafla fupi ya Kufunga mashindano ya UMITASHUMTA yaliyofanyika katika shule ya msingi Lutozo iliyopo Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katoro.

KATIKA mashindano hayo ya UMITASHUMTA kwa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, yaliyohusisha tarafa nne ya Bugando, Butundwe, kasamwa na Busanda, ambapo tarafa ya Butundwe imepata ushindi wa jumla kwa kupata makombe tisa (9).


Afisa Elimu, Magubiki amesema Michezo ni afya  pia ni ajira, hivyo walimu wanapaswa kujifunza kwa tarafa ya Butundwe samabamba na kuwekeza katika michezo kwa Wanafunzi ili wanapoenda kwenye mashindano  warudi na matokeo mazuri.

Akitoa taarifa ya UMITASHUMTA 2024, Afisa Michezo Halmashauri ya wilaya Geita Ibrahim Bunangoi amesema zaidi ya Wanafunzi 300 kutoka tarafa nne za Halmashauri ya Wilaya ya Geita, walikuwepo kwenye kambi ya mashindano na Wanafunzi mia Moja ishirini kati yao wamefuzu kwenda kwenye mashindano hayo ngazi ya mkoa.

Kwa upande wake mwenyekiti wa tarafa ya Butundwe Renatus matogolo ambayo imepata ushindi wa jumla amesema siri ya ushindi wao ni kujituma huku Faida John mwenyekiti Bugando na Dominic Mabula mwenyekiti Busanda ambao tarafa zao hazikufanya vizuri sana, wamesema wataongeza juhudi zaidi ili wapate matokeo mazuri kwa wakati mwingine.

Kauli mbiu ya mashindano hayo ya UMITASHUMTA 2024 ni Miaka 50 ya UMITASHUMTA tunajivunia mafanikio katika sekta ya Elimu, Michezo, Sanaa hima mtanzania ushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. June 05, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. WASIRA: AJENDA YA SERIKALI NI KUSIMAMIA MAENDELEO YA WANANCHI.

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YAPATA HATI SAFI, MHE. FATMA APONGEZA USIMAMIZI WA FEDHA ZA UMMA.

    June 13, 2025
  • UFUATILIAJI WAHIMIZWA KWENYE USIMAMIZI WA MIRADI WILAYA YA GEITA

    June 12, 2025
  • MKURUGENZI ASISITIZA HATUA KUCHUKULIWA KUDHIBITI UTORO SHULENI.

    June 05, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa