Posted on: April 29th, 2025
NZERA
Baraza la Madiwani halmshauri ya Geita wamekutana kwenye kikao cha robo ya tatu cha mwaka kujadili shughuli za maendeleo tarehe 29 April 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmshauri ya Geita....
Posted on: April 25th, 2025
Vijana Wilayani Geita wanatarajiwa kupatiwa suluhu ya namna gani wanaweza kuzitambua fursa zinazowazunguka na kuzitumia ipasavyo ili kujiingizia kipato.
Akifungua kikao cha majadiliano ya uteke...
Posted on: April 24th, 2025
Nzera, Geita.
Tume ya Taifa ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kwa ufadhili wa Tume ya Taifa ya UNESCO ya nchini Korea, (KNC-UNESCO), imepanga kuwainua kiuchumi ...