Posted on: September 26th, 2024
Msimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita ndg Karia Rajabu Magaro Septemba 26,2024 ametoa maelekezo kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika Novemba 27,2024.
K...
Posted on: September 25th, 2024
Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg Mohamed Gombati, Septemba 25, 2024 amewataka walimu kuendelea kuzingatia maadili na miiko ya kada ya ualimu ili kuendelea kuuletea Mkoa wa Geita sifa njema.
Gombati ...
Posted on: September 25th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashim Komba, amewataka wananchi wa kata ya Nyamboge kushirikiana na serikali kupambana na maneno ya uzushi yanayosambaa katika maeneo mbalimbali. Akizungumza kwenye mkut...