• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

ZAHANATI YA LUBANGA YATARAJIWA KUANZA KUTUMIKA DESEMBA 2021

Posted on: September 17th, 2021

Wananchi wa kata ya Lubanga katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita wametakiwa kuharakisha ujenzi wa choo na nyumba ya mganga ili Zahanati yao ianze kufanya kazi ifikapo mwezi Desemba mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia kwa Afisa Mipango wake Bi.Kashinje Bukombe alipoambatana na kamati ya Siasa ya Wilaya kutembelea mradi huo Septemba 16,2021.

Kwa upande wake diwani wa kata hiyo Mh.Alexander Buteyeye amesema kuwa watatekeleza agizo hilo la Serikali kwa kukaa vikao na kuweka mikakati ya kukamilisha ujenzi huo ili huduma zianze kutolewa kwa wananchi.

Awali akiwasilisha taarifa ya mradi huo Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya Beatrice Munisi alisema kuwa ujenzi wa kituo hicho ni utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi (MMAM) wa kuhakikisha kila kata ina kituo cha Afya ambapo mpaka sasa mradi huo umegharimu jumla kiasi cha shilingi 87,220,354.

Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Geita imepanga kukamilisha kituo hiki kwa awamu ambapo awamu ya kwanza ukamilishaji wa jengo la OPD,Nyumba za Watumishi ,ujenzi wa choo na kichomea taka utakamilishwa kufikia desemba 2021 kupitia fedha zilizotolewa na TAMISEMI kiasi cha shilingi 50,000,000 huku majengo mengine ya kituo yakikamilishwa baadae kadri fedha zitakavyopatikana.

Naye mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Geita Barnabas Mapande ameiomba Halmashauri ya Wilaya hiyo kuandaa mpango unaoonyesha ni kwa namna gani Serikali itakamilisha miundombinu iliyobaki.

Aidha kukamilika kwa Mradi huo wa Zahanati kunategemea kuwanufaisha wananchi wa Lubanga na vijiji jirani vyenye zaidi ya wakazi 19,085 kupata huduma za Chanjo,Afya ya uzazi ,Wagonjwa wa nje,Uzazi wa mpango na Upimaji wa Virusi vya UKIMWI kwa karibu.  

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa