• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WIKI YA TEHAMA WILAYA YA GEITA YAFIKIA KILELE HII LEO

Posted on: October 1st, 2021

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Geita imeziomba  taasisi za umma kuendeleza dawati la TEHAMA hata baada ya wiki ya TEHAMA kuisha kwa lengo la kuendelea kuielimisha jamii, kwa kuwa Ulimwengu wa sasa uko katika mageuzi makubwa ya TEHAMA.

Akizungumza katika kilele cha wiki ya TEHAMA ki Wilaya kilichofanyika leo ijumaa Oktoba mosi katika ukumbi wa GEDECO kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Geita Bw.Thomas Novatus Festus amesema kuwa licha ya wiki ya TEHAMA kufikia kilele chake hii leo ni vyema madawati ya TEHAMA yakaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu maendeleo ya Sekta hiyo.

Bw.Thomas amesema kuwa zaidi ya watu 475 kutoka makundi ya Jumuiya ya wafanyabiashara, vikundi vya wakulima, vikundi vya mikopo, wasanii, wamachinga, vikundi vya Ushirika, wanafunzi na walimu wamepata Semina kuhusu TEHAMA.

Ameendelea kusema kuwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ilipanga kuwa na wiki ya TEHAMA kuendana na kauli mbiu ya mbio za Mwenge maalumu wa Uhuru 2021 inayosema ‘’TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu itumie kwa usahihi na uwajibikaji’’

Aidha amesema kuwa katika kuadhimisha wiki ya TEHAMA wamefanikiwa kutoa elimu ya TEHAMA inayoendana na kauli mbiu ya mbio za Mwenge maalumu wa Uhuru kupitia semina, magari ya matangazo, tovuti ya Halmashauri, na redio yetu pendwa ya Rubondo fm.

Sanjari na hayo Bw.Thomas amewaomba wananchi wote kwa ujumla kushiriki kikamilifu katika mbio za Mwenge maalumu wa Uhuru mwaka 2021 kwa kuupokea ,kuukimbiza na mkesha wake utakuwa katika Mji mdogo wa Katoro siku ya Octoba 12, 2021

Wiki ya TEHAMA ki Wilaya ilianza rasmi jumatatu ya Septemba 27 ambapo kwa muda wote huo timu ya uhamasishaji na matumizi sahihi ya TEHAMA ilikuwa ikipita kwa wadau mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu kabla ya kufikia kilele chake hii leo Oktoba Mosi 2021.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAHIMIZWA KULINDA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-CPA AMOS MAKALLA

    May 20, 2025
  • RUSHWA NI JANGA LINALOATHIRI MAENDELEO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA NCHINI-RAS GOMBATI.

    May 13, 2025
  • GEITA YAPATA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI.

    May 12, 2025
  • ALAT MKOA WA GEITA WAMPONGEZA MKURUGENZI GEITA DC USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 10, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa