• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WASIMAMIWE KUHAKIKISHA AFUA ZA LISHE ZINATEKELEZWA - MHE. KOMBA

Posted on: July 12th, 2025

Katika kuhakikisha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Geita inapambana na changamoto ya Lishe Duni pamoja na udumavu kwa Watoto chini ya umri wa miaka mitano, rai imetolewa kwa Halmashauri kupitia kwa Idara ya Afya kuhakikisha inashirikiana na Watendaji wa Kata na Vijiji ili Afua za Lishe ziweze kutekelezwa kwa ukamilifu.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashim Komba Julai 11, 2025 eneo la Ukumbi wa EPZ-Bombambili, Manispaa ya Geita, katika kikao kazi cha kujadili tathmini ya jumla ya Hali ya Mapato, Miradi, Afua za Lishe, pamoja na changamoto ambazo zinahitaji kufanyiwa kazi na Kamati ya Usalama ya Wilaya, kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Akizungumza mbele ya Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya na wa kutoka Manispaa ya Geita, Mhe. Komba amesema kuwa Halmashauri zina wajibu wa kuhakikisha zinawasimamia Watendaji wa Kata na Vijiji pamoja na kutoa fedha mapema kwenye mipango ya Lishe inayohitaji utekelezaj wa haraka.

Mhe. Komba pia ametoa pongezi kwa Maafisa Lishe wa Wilaya kwa kusimamia utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Mkakati wa Lishe wa Taifa (NMNAP II) wa kupambana na tatizo la Lishe Duni sambamba na la Utapiamlo na Aina zake (Triple Burden of Malnutrition), huku lengo likiwa ni kuhakikisha jamii inakuwa na elimu ya kutosha juu ya ulaji wa vyakula vyenye virutubisho ili kuondokana na matatizo yanayosababishwa na Lishe Duni.

Naye Afisa Lishe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Bi. Umi Kileo amesema kuwa miongoni mwa mafanikio yaliyoweza kufikiwa kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ni pamoja na kutoa matibabu kwa Watoto 86 ambao waliibuliwa katika jamii kwenye zahanati na kupelekwa katika Hospitali ya Wilaya Nzera, Hospitali ya Katoro, na Kituo cha Afya Kasota ambapo walitibiwa kwa kutumia fomula ya vyakula dawa vilivyotengenezwa wodini.

Aidha, Halmashauri pia inaendelea na programu ya Jiko-Darasa kwenye zahanati na vituo vya afya ili kuwajengea uwezo wazazi pamoja na walezi jinsi ya kuboresha vyakula vya Watoto, hali itakayosaidia kupunguza athari za utapiamlo, na pia kusaida mwendelezo wa elimu kila hudhurio kwa wazazi na walezi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. June 05, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WASIMAMIWE KUHAKIKISHA AFUA ZA LISHE ZINATEKELEZWA - MHE. KOMBA

    July 12, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO.

    July 12, 2025
  • VIKUNDI 111 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI HALMASHAURI YA WILAYA, GEITA

    July 11, 2025
  • MHE. KOMBA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA OFISI YA KATA, BUGULULA.

    July 05, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa