• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WA VIJIJI WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA-GEITA DC

Posted on: December 23rd, 2023

Na Hendrick Msangi

WATENDAJI wa Vijiji wa Halmashauri ya wilaya ya Geita , Desemba 18, 2023 wamepatiwa elimu juu ya utunzaji wa Mazingira na usafi katika maeneo yao ili wakawe mabalozi wazuri kwa wananchi wanaowasimamia

Hayo yameelezwa na Afisa Afya Halmashauri ya Wilaya ya Geita Kimwago Singo wakati wa kikao na watendaji hao ambapo watendaji hao walielekezwa kuhamasisha jamii kuwa na vyoo na kuvitumia ili kuyatunza mazingira.

Afisa Afya ndugu Kimwago Singo  akitoa elimu kwa watendaji wa vijiji juu ya matumizi ya vyoo bora na  umuhimu wa kuyatunza mazingira kwa kuzingatia matumizi sahihi ya vyoo.

Aidha Afisa Afya huyo, alisema wananchi wanapaswa kushirikishwa katika kutengeneza miundombinu ya vyoo na matumizi bora ya huduma za usafi wa mazingira kwa kuendelea kuwajengea uelewa.

“Tunapofanya kazi pamoja kama jamii na kuchukua hatua za kuleta mabadiliko katika suala la afya ya binadamu na mazingira, kupitia elimu tunayopeana , ubunifu pamoja na ushirikiano na viongozi ngazi ya jamii , tunaweza kufikia lengo la kila kaya kuwa na vyoo bora na kuchangia katika maendeleo endelevu katika halmashauri yetu,” alisema Singo.

Pamoja na hayo Afisa Afya huyo alisema kupitia program ya huduma ya maji safi vijijini (SRWSS) halmashauri ya wilaya ya Geita hupokea fedha kutokana na ufaulu wa uhakiki wa uwepo wa vyoo bora ngazi ya jamii unaofanyika kwa ngazi ya jamii kwa ajili ya utekelezaji wa huduma endelevu za maji safi na usafi wa mazingira vijijini chini ya ufadhili wa Benki ya dunia ambapo alisema kaya zote, taasisi na nyumba za ibada zinatarajiwa kuwa na vyoo 100% ifikapo Disemba 30, 2023

Mwisho Afisa afya huyo aliwataka watendaji hao kulifanya zoezi la utoaji elimu kwa jamii juu ya matumizi ya vyoo bora kuwa endelevu ili jamii izidi kuona umuhimu wa kuyatunza mazingira kwa kuzingatia matumizi sahihi ya vyoo.

Tangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO KWA VIKUNDI January 23, 2025
  • TANGAZO LA KAZI GEITA DC September 10, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA September 16, 2024
  • Geita Mamlaka za Wilaya na malmaka za miji GP DOM.pdf September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIDHISHWA NA UTEKEKEZAJI WA MIRADI KUELEKEA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025.

    May 06, 2025
  • MEI MOSI YALETA FARAJA KWA MAAFISA TARAFA GEITA.

    May 02, 2025
  • RC SHIGELA AIBUA MATUMAINI MAPYA KWA WATUMISHI MKOANI GEITA.

    May 02, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI GEITA DC LAMPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA KUPATA HATI SAFI

    April 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa