• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Geita
Halmashauri ya Wilaya ya Geita

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • TASAF
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
        • Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • UKIMWI
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Uvuvi
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu,Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wahe.Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Sheria ndogo
    • Mpango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi/kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAKUU WA IDARA NA VITENGO WAPATA MAFUNZO MFUMO WA TATHMINI YA MAHITAJI YA RASILIMALIWATU (HR ASSESSMENT SYSTEM)-GEITA DC

Posted on: November 21st, 2023

Na: Hendrick Msangi

Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Novemba 21, 2023 wamepata mafunzo jinsi ya kutumia mfumo wa tathmini ya mahitaji ya rasilimaliwatu katika utumishi wa umma (HR Assessment System) kutoka kwa wataalamu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakifuatilia mafunzo jinsi ya kutumia mfumo wa tathmini ya mahitaji ya rasilimaliwatu katika utumishi wa umma (HR Assessment System)

Mfumo huo utatumika katika kuchakata mahitaji ya watumishi katika taasisi za umma ambapo utatoa takwimu sahihi kuhusu idadi ya watumishi waliopo, wapo wapi na mahitaji ya watumishi kwa ujumla ili kuisadia serikali katika kufanya maamuzi mbalimbali.

Aidha mfumo huo utaweza kukokotoa mahitaji ya rasilimali watu kwa kuangalia uwiano na uzito wa majukumu ya watumishi katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwenye taasisi zao.

Awali mfumo uliokuwa ukitumika wa Joblist form katika kuchambua mahitaji ya rasilimaliwatu ulikuwa ukitumia njia ya majadiliano hivyo kuchangia matokeo yasiyokuwa na uhalisia ambapo kumepelekea malalamiko kutoka kwa waajiri juu ya upungufu/uhaba wa watumishi, kukosekana kwa takwimu sahihi zinazotumiwa na waajiri katika kuandaa maombi ya ajira pamoja na kukosekana kwa msawazo ulio sawa kwa watumishi hasa maeneo ya vijijini na mijini.

Mfumo wa tathmini ya mahitaji ya rasilimaliwatu katika utumishi wa umma (HR assessment system) utaiwezesha serikali kuwa na taarifa sahihi za watumishi waliopo na wanaohitajika, kufanya msawazo wa watumishi kwenye maeneo waliyozidi na maeneo yenye upungufu ikiwa ni pamoja na kuleta ufanisi na tija katika utumishi wa umma kwa kuisadia serikali kupanga mipango ya muda mfupi na muda mrefu juu ya Rasilimaliwatu

Tangazo

  • HIZI HAPA AJIRA ZA KUMWAGA GEITA DC July 15, 2025
  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI August 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • GEITA DC YAPOKEA ZANA ZA KILIMO KUTOKA WIZARA YA KILIMO

    December 01, 2025
  • KATIBU TAWALA MOROGORO DKT MUSSA AZITAKA HALMASHAURI KUUNGA JUHUDI ZA VIKUNDI VINAVYOWEZESHWA NA SERIKALI KULETA MATOKEO CHANYA.

    November 14, 2025
  • WATAALAM KUTOKA MKOA WA GEITA WAPATIWA MAFUNZO UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUKUZA USAWA WA KIJINSIA TANZANIA(PAMOJA)

    November 13, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA YASHIRIKI MAFUNZO YA E-BOARD TOLEO LA PILI

    November 30, 2025
  • Tazama zote

video

DED. WANGA AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WANAOJIANDAA KUFANYA MITIHANI YA TAIFA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Asili ya jina Geita
  • Fursa ya viwanda
  • Fursa ya madini
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI, 2021
  • Vivutio vya Utalii
  • Miradi itakayotekelezwa
  • Miradi inayoendelea
  • Orodha ya wahe.Madiwani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Bofya Hapa Kutuma,Kupokea na Kufuatilia Malalamiko,Mapendekezo,Maulizo na Pongezi Halmashauri ya Wilya ya Geita
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS)
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Anuani ya Posta: S.L.P 139 Geita

    Simu: +225 282520061

    Mobile:

    Barua pepe: info@geitadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki@ Halmashauri ya wilaya ya Geita , Haki zote zimehifadhiwa